Umesema kweli mrs van.Wengine hawajui kama wanaishi na baba zao wa kambo hivyo mi nampa bigup diamond kuwa analea damu yake halali na sio kama huyu alieposti picha kumdhihaki diamind wakati yeye babake hamjui mpaka leoMlianza kwa Tiffa ivyo ivyo kumfananisha na Ivan. Mwsho wa siku Mungu sio abdalah wala van mtoto ndo sura ya mondi tupu. Wekeni akiba ya maneno baadae mje kujiumbua wenyewe.
Alaaniwe wakati kitu kopy right hichooooo....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] punguzeni mapenz ili mkubali ukweliWewe miss kinyesh nakwambia ulaaniwe kwa ujinga wako
So conclusion yako ni ipi
Me cna shida ya kumhakiki baba, ila baba ndio anamhakiki mwana xo pumzkaaaKim unajya ulibambikwa babako kama unabisha kapime DNA
Hahahaa jipu limempata mkunaji hadi wewe umeishiwa pumzi siamini toa la Moyoni uwache Moyo usukume damuNgumu kumesaa, labda wana undugu na Ivan
Hivi we me au ke?? Tuanzie hapoWew inakuuma nini, labda Tuanzie apo
Mkuu sio editing Picha wamepost wao instaiyo ni editing tu imefanyika hapo mtt ni wa mond tusiibue maswala mengine yasiyo na msingi jaman
Yaani wanatia huruma[emoji23] [emoji23] [emoji23]sijui huyo boss waoAlaaniwe wakati kitu kopy right hichooooo....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] punguzeni mapenz ili mkubali ukweli
Mbona anafanana na watoto wake
Et jamani bado mbabisha tuuu ?? Aisee mapenzi upofu ila limbwata la kiganda nomaaa
Kamuoa lini? Ndoa ilifungwa na nani? Sherehe ikafanyika wapi?Tumekalia majungu tu diamond sio mjinga yule anaakili sana mpaka kuja kumuoa zari ndo mana adi rais anatuponda tumekalia mitandao tu .kiukwer tumezidi.
Na ninahis mtoa post ni jinsia ya Ke mana tangu ndu yao aachwe hawajaridhika