Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Picha: Vijana zaidi ya 1000 wafanya matembezi Dodoma kumuunga mkono Samia kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Hao siyo vijana. Itakuwa nyumbu au kasongo. Vijana hawawezi kufanya jambo la fedheha hivyo la kuunga mkono watu wa hovyo
 
Kwa hiyo kwa sababu Lissu kashinda ndio tusijadili mambo mengine dunia isimame?

Tuliza Oestrogen hizo na uache kupanic hovyo.

Ka jinga 😂
Nmemwelewa katoa kama ushaur kua ,maandamano Yao yanefunikwa na uchaguz wa Chadema ,Kwa iyo hai viongoz ni vilaza sana ,Kwa nn wapabge maandamano siku ya kutangazwa Kwa mgombea wa Chadema ??
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Lucas analitambua hili?
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

We don't buy this bullshit
 
Tuna taifa lenye vijana wa hovyo sana kuwahi kutokea. Pumvavu zenu vijana wote mliokoswa kazi ya kufanya na kushadadia huu upuuzi unaoliangamiza taifa
 
Hakika kibaya cha jitembeza, endeleeni kujitembeza
 
Ni lazima waandaliwe kama hawa ili ionekane Mama anapendwa. Mambo ya kawaida kabisa kwenye siasa.
 
CCM hakuna kupoa hadi siku Mama anakula kiapo,mwendo ule ule,ushindi lazima
 
Vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), wakiongozwa na Mwenyekiti Mohammed Kawaida na Katibu Mkuu Jokate Mwegelo, wamesema wako tayari kuhakikisha wagombea wa Urais, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Mwinyi, wanashinda kwa kishindo.

Hii ni baada ya kufanya matembezi ya hisani katika Jiji la Dodoma kuunga mkono maamuzi ya Mkutano Mkuu wa CCM uliofanyika Januari 18-19, 2025. K

Katibu Mkuu Jokate Mwegelo alisisitiza kuwa Vijana, akiwemo Mgombea mwenza Dkt. Emmanuel John Nchimbi, watahakikisha CCM inashika Dola. Zaidi ya Vijana 1000 walishiriki matembezi hayo.

Hawa ndio zoba wa nchi hii.
 
Mbona activity za ccm zimepoa sanaa... Halafu huwa nawashangaa huwa wana kuwa na wasiwasi gani kutumia nguvu kubwa kwenye activity na ikiwa uchaguzi ujao watashinda tu tena kwa koshindo...
+ wasanii wao

Ova
 
Utani mwingine huu.

Mtaruhusu CDM nao wakisema waandamane kumuunga mkono Tundu Lissu?
 
Nyerere aliiacha nchi ikiwa na maadui watatu.

Ila kwa sasa kuna maadui wanne. Na adui mmoja amebadilika na kuwa mbaya zaidi.

Adui "Ujinga" sasa ni Upumbavu.

Adui, "umaskini" remains constant.

Adui "Maradhi" remains constant.

Adui Uchawa.

Kwa hiyo kwa sasa kuna maadui wanne. Upumbavu, Umaskini, Maradhi na Uchawa.
 
Back
Top Bottom