Picha: Vita ya Ray C na Zamaradi yapamba moto


Rayc sio mzima
Alikuwa na msutano na dougiemasta kipindi fulani kisa kadhulumu hela ya mteja
 
Huo ndo ukweli....ila nae Ronadinho(Zama) afanye yake malumbano hayasaidii

Zamaradi ni mkorofi, ana maneno ya choko choko sana, ray c kamalizia anaonekana yeye ndo mchokozi au anaonekana bado anatumia madawa....ahahahah y unamuita zama ronadinho? Meno au?
 
hao UKIMWI hawakosi...wanapenda sana Soni Mombo...( kama hujaelewa hapo uliza Lushoto)
 
Ahahahaha binamu unavyouliza kama ni kitu cha kawaida vile, hahahahaha ni sheeedha

Binamu lakini nimesikia kuwa Rehema ana kitumbo.
Na muhusika ni mtuhumiwa wa Zama, maana kule insta ndo umbea ulikolala
 
Zama zake zimekwisha....lilia bahati sio uzuri.Maana Zama uzuri hana kumshinda huyo nyoka mstaafu lakini ndo muvile tena.Insta haitii mimba kwahyo atulize kipago.

Ahsante
 
Binamu lakini nimesikia kuwa Rehema ana kitumbo.
Na muhusika ni mtuhumiwa wa Zama, maana kule insta ndo umbea ulikolala

Dadangu fafanua kdg
..... Mtuhumiwa wa Zama ndio nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…