miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Duu hatari sana..kwanini na yeye asitafute mtoto?Kujibishana insta kutamsaidia kubeba mimba?
Yes, ungekuwa wewe pia ungehisi hivyo
Aisei we Strong wewe..."mapapai?
Ninacho jiuliza kwanini Rayc ahisi anaambiwa yeye? Mbona kuna mastaa wengi hawana watoto na hawaja jihisi? Kwanini Wema au jokate,Walper hawakuhisi wanasemwa wao? Nimegundua Rayc bado anaugua kabisa!
Rayc ni attention seeker kabisa na anapenda ugomvi!
Kwani zamaradi nae ni celebraty?
Afu Zamaradi si ana UKIMWI?
Au ni tetesi?
Kama anao basi na Ray C anao,c wanashea muwa
Huo ndo ukweli....ila nae Ronadinho(Zama) afanye yake malumbano hayasaidii
Ahahahaha binamu unavyouliza kama ni kitu cha kawaida vile, hahahahaha ni sheeedha
Wote ni attention seekers, stupid girls
Zama zake zimekwisha....lilia bahati sio uzuri.Maana Zama uzuri hana kumshinda huyo nyoka mstaafu lakini ndo muvile tena.Insta haitii mimba kwahyo atulize kipago.
Binamu lakini nimesikia kuwa Rehema ana kitumbo.
Na muhusika ni mtuhumiwa wa Zama, maana kule insta ndo umbea ulikolala