ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
- #21
na.19 Mkunga,
Sura yake na umbile kama nyoka.Wako wa rangi nyingi sana na hata makabila.Wana mafuta sana na ni wazuri kwa kupata harufu nzuri kwenye mchuzi.Tatizo hawana nyama.Sehemu kubwa ni miba.Kinofu kidogo utakachokipata na ukakichoma kwa mkaa utafurahi sana.