Picha: Wafuatao ni samaki tunaowapata sana hasa ukanda huu wa Lindi beach

Picha: Wafuatao ni samaki tunaowapata sana hasa ukanda huu wa Lindi beach

na.19 Mkunga,
Sura yake na umbile kama nyoka.Wako wa rangi nyingi sana na hata makabila.Wana mafuta sana na ni wazuri kwa kupata harufu nzuri kwenye mchuzi.Tatizo hawana nyama.Sehemu kubwa ni miba.Kinofu kidogo utakachokipata na ukakichoma kwa mkaa utafurahi sana.
 

Attachments

  • FB_IMG_1716633818712.jpg
    FB_IMG_1716633818712.jpg
    119.8 KB · Views: 6
  • DSC_0239.JPG
    DSC_0239.JPG
    3.8 MB · Views: 5
Pamoja na Samaki wengi wazuri,Kwa nini bado mnakula Pweza??Ni uroho au ulafi?Nimekaa Pwani Miaka 20,Nyumbani Kanda ya Ziwa lakini hayo makambakamba acheni uroho!!
Nenda Ka google faida za pweza.. Wana zinc sana kuliko wengine
 
Pamoja na Samaki wengi wazuri,Kwa nini bado mnakula Pweza??Ni uroho au ulafi?Nimekaa Pwani Miaka 20,Nyumbani Kanda ya Ziwa lakini hayo makambakamba acheni uroho!!
Mi mwenyewe wa bara nilivyokuja pwani nilikaa miaka miwili bila kula pweza nilikuwa naona kama madudu flani ya kutisha. Kuna siku nikajiroga nikawaonja aisee ni watamu balaa mpaka leo haiwezi kupita wiki sijawala.
 
Back
Top Bottom