Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Ni uroho tu ila kasa sio samaki ni kobe tu ambaye alilelewa baharini akasahau kuja inchi kavu.Hawa siyo wale tulisikia watu nafikiri ni Pemba, walikufa kwa kula huyu samaki, ana sumu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni uroho tu ila kasa sio samaki ni kobe tu ambaye alilelewa baharini akasahau kuja inchi kavu.Hawa siyo wale tulisikia watu nafikiri ni Pemba, walikufa kwa kula huyu samaki, ana sumu?
Watu mliokulia mikoani hii ndio kauli yenu most of the time. Kimsingi hamjui ladha ya samaki wa baharini kuwa ndio ladha ya samaki mwenye virutubisho vingi zaidi kuliko samaki wa kawaida wa maji baridi ambaye hana nutritional value ya juu ukifananisha na samaki wa baharini.Samaki wa baharini huwa siwapendi Mimi ukinipa samaki wa maji baridi sato ama perege!
Naona wako poa
Sasa ukisema Sea food si ndio maana ya kusema samaki wa baharini au wewe unajua Sea food ni wali maharage? [emoji23][emoji23][emoji23]Sea food pia hupendi?.
Ndio hivyo mkuu ila Mimi nimesema kile ni kipendacho,hayo mengine siyajui ila pia Asante kwa comment yako!Watu mliokulia mikoani hii ndio kauli yenu most of the time. Kimsingi hamjui ladha ya samaki wa baharini kuwa ndio ladha ya samaki mwenye virutubisho vingi zaidi kuliko samaki wa kawaida wa maji baridi ambaye hana nutritional value ya juu ukifananisha na samaki wa baharini.
Mkuu hao dagaa kamba wanauzajerhukoMnaoishi bara Poleni sio kidogo endeleeni kutunyima protein ya nyamaPori, senene na kumbikumbi. Tunaokaa pwani ya Bahari Hindi tunaendelea kufaidi sea food.
Kibua-huyu najua maarufu sana hasa Kwa dar
Changu-huyu Lindi na Mtwara Kwa wingi
Lupapa
Chewa - huyu wa supu kabisa moja ya samaki mwenye bei nzuri watoto wa kivinje na Mchinga wanaelewa
Kipepeo - huyu hata mimi mwenyewe Sina maelezo yake mengi sana sijawahi kumla
Pronzi sijui nimwite bronzi - jamii ya kambakochi na mwenyewe wakubwa bei yake nzuri
Dagaa mchele-wa buku waliokaangwa unakula na ugali na maji ya baridi
Kolekole-kilwa na somanga Safi Sana
Ngisi - mtoa wino huyu na pweza unamkubali yupi?
Kiatu - huyu samaki Kiatu hana nyama nyama chembamba
WOTE WAKO PICHANI HAPO
View attachment 3000382
View attachment 3000381
Santolin bado ipo?Karibu mkuu ila me niko lindi pasipo na samaki sana kama ilivyo Kilwa na somanga
Sasa ukisema Sea food si ndio maana ya kusema samaki wa baharini au wewe unajua Sea food ni wali maharage? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha sawa bana.MIMI BINAFUSI NABEDA ZANA ZAMAKI GULIKO YAMA
Unaweza kulinganisha bei ya Sato na TunaSijawahi kuwaelewa samaki wa maji chumvi ndo maana hata bei yake iko chini kulinganisha na wa maji baridi
Nipe beiUnaweza kulinganisha bei ya Sato na Tuna
Tuna kilo 1 20kNipe bei
Jongoo bahari tu bei yake imesimama kuliko sato!Sijawahi kuwaelewa samaki wa maji chumvi ndo maana hata bei yake iko chini kulinganisha na wa maji baridi
Seafood bei yake ipo juu sanaUnaweza kulinganisha bei ya Sato na Tuna
Misamaki yenu sio mitamuJongoo bahari tu bei yake imesimama kuliko sato!
Wengi hawamli jongoo bahari lakini jiulize bei yake ni kubwa mno mno... katika soko la Dunia ndio balaa
Sato sijui anashindana bei
Kula cofta.MIMI BINAFUSI NABEDA ZANA ZAMAKI GULIKO YAMA
😂😂MIMI BINAFUSI NABEDA ZANA ZAMAKI GULIKO YAMA