ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
-
- #21
na.19 Mkunga,
Sura yake na umbile kama nyoka.Wako wa rangi nyingi sana na hata makabila.Wana mafuta sana na ni wazuri kwa kupata harufu nzuri kwenye mchuzi.Tatizo hawana nyama.Sehemu kubwa ni miba.Kinofu kidogo utakachokipata na ukakichoma kwa mkaa utafurahi sana.
Nenda Ka google faida za pweza.. Wana zinc sana kuliko wenginePamoja na Samaki wengi wazuri,Kwa nini bado mnakula Pweza??Ni uroho au ulafi?Nimekaa Pwani Miaka 20,Nyumbani Kanda ya Ziwa lakini hayo makambakamba acheni uroho!!
Ni mafia?Huku karibu na kisiwa cha comoro. Thanda island
Pweza mbona poa sana dagaa mchele hao wakaangwe na mafuta yako masafi hawawi wachungu piga na tembere na maji baridi sanaNgisi na pweza jamani wamenishinda kabisa, hata dagaa wa mchele siwapendi.
Wapo wenye sumu na wasio na sumu kama Uyoga.Hawa siyo wale tulisikia watu nafikiri ni Pemba, walikufa kwa kula huyu samaki, ana sumu?
Sea food pia hupendi?.Samaki wa baharini huwa siwapendi Mimi ukinipa samaki wa maji baridi sato ama perege!
Naona wako poa
oyaa unatuambukiza mafuaMIMI BINAFUSI NABEDA ZANA ZAMAKI GULIKO YAMA
Pamoja mkuuKaribu mkuu ila me niko lindi pasipo na samaki sana kama ilivyo Kilwa na somanga
Mi mwenyewe wa bara nilivyokuja pwani nilikaa miaka miwili bila kula pweza nilikuwa naona kama madudu flani ya kutisha. Kuna siku nikajiroga nikawaonja aisee ni watamu balaa mpaka leo haiwezi kupita wiki sijawala.Pamoja na Samaki wengi wazuri,Kwa nini bado mnakula Pweza??Ni uroho au ulafi?Nimekaa Pwani Miaka 20,Nyumbani Kanda ya Ziwa lakini hayo makambakamba acheni uroho!!
Vipi mevuta bagi yenye mabiMIMI BINAFUSI NABEDA ZANA ZAMAKI GULIKO YAMA
Sure mkuuSea food pia hupendi?.
Una mafua ndugu au?MIMI BINAFUSI NABEDA ZANA ZAMAKI GULIKO YAMA