PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
Polisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo

Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.


 
Mungu ni mwema Tunaelekea pazuri kama nchi
 
Safi sana, baada ya kumsikia amiri jeshi mkuu akiwapa kichwa askari wake waendelee na matendo yao ya kupoteza na kuua watu huku akikazia kuwa "Kifo ni Kifo tu", naona sasa raia wameamua kujilinda.
 
About fukin time, hii ndio inatakiwa iwe, no more ukondoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…