PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

Walitakiwa ss raia wawawekee chini ya ulinzi wao na mpk ss walitakiwa wawe wameshavimbaa Kila mahali km hawana vielelezo vinavyojitosheleza km wao n police...na waojiwee n wakina nani na wapo wangapi shenzi kbs
 
View attachment 3101028 lazima mumkome View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Abdul lazima mumkome wote mlio msumbua hapo kkoo ..kuna kajamaa kalimpokaga demu kitambo sasa hivi kana onyenjeshwa joto ya jiwe na bwana Abdul 🤫
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Wamekosea sana, hawa walikuwa wa kuchoma moto tu hakuna kufuga majambazi.
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Safi sana! This is the way to make systems work.
 
Back
Top Bottom