inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ilikuaje?Hao police wangepigika wakachakaa si unaona kule mara trafiki kapigika mbaya kisa kwenda kumkamata dereva ndani ya gari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ilikuaje?Hao police wangepigika wakachakaa si unaona kule mara trafiki kapigika mbaya kisa kwenda kumkamata dereva ndani ya gari
Abdul lazima mumkome wote mlio msumbua hapo kkoo ..kuna kajamaa kalimpokaga demu kitambo sasa hivi kana onyenjeshwa joto ya jiwe na bwana Abdul 🤫View attachment 3101028 lazima mumkome View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
safiView attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Bongo mambo ni shagala baghala taratibu zipo lakini hazifuatwi.Polisi atoke Magomeni akamkamate mtu K'koo?
Kwanini utaratibu usitumike akakamatwa na askari wa hapo msimbazi centre?
Halafu huu utaratibu wa polisi kwenda kumkamata mtu bila uniform za polisi wala RB umeanza lini?
Wamekosea sana, hawa walikuwa wa kuchoma moto tu hakuna kufuga majambazi.View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Hiliswali ndio nilitaka kuuliza hata amm wasingentoaPolisi atoke Magomeni akamkamate mtu K'koo?
Kwanini utaratibu usitumike akakamatwa na askari wa hapo msimbazi centre?
Halafu huu utaratibu wa polisi kwenda kumkamata mtu bila uniform za polisi wala RB umeanza lini?
Wawe wanavaa uniformHao sio majambazi kweli? Hizo sio sura za polisi, kuanzia viatu sio polisi hao
Makaburi ununiooooView attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Safi sana! This is the way to make systems work.View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Boni alipambana sana, mpaka wakaomba back up ya Askari wenye sare.Ndugu boni yai alichukuliwa sinza wananchi wakitazama tu! Hao wananchi wa kkoo wametoa funzo