PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Safi sn, kwanini hawataki kuvaa uniform kama wana nia njema?
 
Hiliswali ndio nilitaka kuuliza hata amm wasingentoa
Hao inawezekana sio askari. Wawahoji vizuri na ikiwezekana wawakamate na kuwapeleka hapo centre wakawashtaki na wasiachiwe mpaka mkuu wa kituo cha polisi Magomeni apige simu kutoa maelezo. Na aeleze ni kwanini amevuka himaya yake ya kazi na kwenda kumkamata mtu katima himaya ya wengine.
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Safi sana, yaani sasa hivi wananchi wenyewe tufanye kazi ya kujirinda . Hao polisi wamechaguwa kuwa walinzi wa CCM na serikali yake .
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Ndio vibaka wa CCM hao jamani tuwakatae na kuwafukuza!
 
Hao inawezekana sio askari. Wawahoji vizuri na ikiwezekana wawakamate na kuwapeleka hapo centre wakawashtaki na wasiachiwe mpaka mkuu wa kituo cha polisi Magomeni apige simu kutoa maelezo. Na aeleze ni kwanini amevuka himaya yake ya kazi na kwenda kumkamata mtu katima himaya ya wengine.
Wakichomwa wawili ..watatu sikumoja hizi mambo ndio zitakuww mwisho wake ...
 
Wadau Walisahau kumpigia mkuu wa kituo cha Magomeni tena unaweza kuta hao wanasemekana ni askari toka kituo cha Magomeni hawana, (hawaijui), namba za mkuu wa kituo hicho
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Nyie furahieni hiyo hali tu, mtakuja kupatwa maswaibu ya kucharangwa na mwizi halafu unamkuta sehemu unamuomba askari akukamatie atakataa uone tutakuwa tunaishije!
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Polisi wanaaminika kwa wana CCM tu....raia mwenye akili timamu hawezi kumuamini polisi
 
View attachment 3101028View attachment 3101030
police waliejitambulisha wa kituo cha magomeni wamefika kkoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi rb namba awana wananchi wamegoma askari kuodoka na mtuhumiwa uyo aliye vaa kofia ndio askari na mwenzake uyo mweupe aliye simama ukutani
Mhu! Yaani askari atoke kituo cha Buguruni aje kukamata mtu Kariakoo? Inawezekanaje, wakati Kariakoo kuna kituo kikubwa cha polisi? Mbona inatia mashaka, labda kama sheria ya ukamataji imenipita.
 
Back
Top Bottom