PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

PICHA: Wananchi Kariakoo wamgomea aliyejitambulisha kama Polisi kuondoka na mtuhumiwa

Serikali inawaamsha raia waliolala kupambania HAKI zao!!

Yaani IGP na team yake hawataki kujiuzulu watu wanatekwa na kuuwawa Kisha wanaodhani wataweza kufanya KAZI Yao kirahisi?

IGP Wambura jiuzulu, Masauni jiuzulu ,yaezakuwa ssh anakuonea Aibu.
 
Bila kuwatembezea kichapo wamefanya ujinga sana hao ndio wanatumwa na mtu kama huyu.
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Ndio matatizo ya kuwa na nchi inaongozwa kipumbavu bila utawala wa sheria , tunaposema uatawala wa sheria au rule of law Una maanisha hamna ambaye anatakiwa kuwa juu ya sheria , polisi nchi hii vibaka na majambazi wanaotumika na ccm kukandamiza wapinzani na kufanya uhalifu mwingine mwingi ambao ni kinyume na miiko ya kazi na jibu description zao .

Sasa unapokuwa na nchi polisi wanakuja kukamata watu kama vibaka flani mitaani bila utaratibu wala kujitambulisha ipasavyo ndio hii inatokea hata majambazi na watu wengine wanaweza tengeneza squads za kuteka watu na kuwamaliza au kufanya extortion kutokana na visasi ,chuki nk
Tukiambiwa kuadhere na haki za binadamu na mabalozi tunasema tusipangiwe .
Na majitu yenye akili fupi yanasheherekea hii hali ,ni hatari sana .

Hii ni disaster na hamna aliye salama

Ni vile tu watanzania huwa hawaoni mbali , kitu likivimbiwa viporo linaona liko salama kwa vile wanaolengwa kwa sasa ni wapinzani , hajui kwamba muda wowote mtu kwa chuki zake binafsi au kwa sababu yoyote anaweza mfanyia kile kile kama wapinzani wanachofanyiwa au even worse Kwa kutumia loopholes zilizopo

Kwa nchi zenye watu wenye akili timamu ,hii nchi sasa hivi kwa yanayoendelea ilipaswa isikalike kabisa ,watu wakichafue kudemand majibu na accountability na resignation ya hik regime na kufumua mifumo yote kabisa kuanza upya lakini kwa vile tupo taifa la wajinga ndio hivyo tena
 
Polisi aliejitambulisha wa kituo cha Magomeni wamefika Kariakoo muda huu wakataka kuondoka na mtuhumiwa wakaulizwa kesi yake nini awasemi, RB namba hawana wananchi wamegoma Askari kuodoka na mtuhumiwa huyo

Katika picha hizi mtu aliyevaa Kofia ndiye Askari na mwenzake ni huyo mweupe aliye simama ukutani.

Wazanzibari watatumaliza .

Kwao hawatutaki sasa wanataka kuwafukuza au kuwaua Watanganyika ili waende wapi?
Wenzetu Wananchi yao ya Zanzibar na Wengine huko Somalia na wengine Burundi na Rwanda . Watanganyika wengi hawana pa kwenda zaidi ya kukaa chini na kuuawa.

Na kwa sababu hawataki hata makaburi ya wetu kwenye ardhi hii wanayoiuza kwa waarabu na wazungu basi wanawatupa Porini ili waliwe na fisi.

Hawa wetu katili wasiruhusiwe tena kukamata wetu .

Kifo ni kifo tu .

Tutamlazimisha kusema uhai ni uhai tu lazima ulindwe kwa nguvu zote.
 
Polisi atoke Magomeni akamkamate mtu K'koo?

Kwanini utaratibu usitumike akakamatwa na askari wa hapo msimbazi centre?

Halafu huu utaratibu wa polisi kwenda kumkamata mtu bila uniform za polisi wala RB umeanza lini?

..polisi wanaokamata na kubeba silaha lazima wawe wamevaa UNIFORM. Vinginevyo itakuwa vigumu kuwatofautisha na majambazi.
 
Back
Top Bottom