Picha: Waziri Bashungwa akutana na Mwalimu wake wa Shule ya Msingi

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Ualimu ni kazi ya baraka na iliyotukuka.

Inafanya unaishi Kwa kiasi na ndio Siri ya Walimu wengi jutozeeka.


Mungu ni mwema kila wakati. Leo nimekutana na mwalimu wangu Faith John aliyenifundisha Ubungo Kisiwani Shule ya Msingi kuanzia 1991-1993. Nimefurahi sana kukutana naye pamoja na walimu wenzake katika Shule ya Msingi Kibamba wakati wa ziara leo kukagua barabara zilizoathiriwa na mvua za El Nino.

My Take
Walimu Hawazeeki Mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…