ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Una miaka mingapi? Labda una kisirani sanaMbona mimi nimezeeka
!???ndo ugonjwa gani tenaUna miaka mingapi? Labda una kidirani sana
Uongo unazeesha punguza kuwa muongoMbona mimi nimezeeka
Wapi ulibaini uongo wangu mkuu!?Uongo unazeesha punguza kuwa muongo
🗑️🗑️Kumbe waziri tuko nae muda mrefu hapa Dar es salaam, lkn kiswahili chake bado kile kile cha mabonde mabonde kama alieingia Dar mwaka jana!
Afadhali yeye hachanganyi R na L kwenye Kiswahili chake cha mabonde bonde.Kumbe waziri tuko nae muda mrefu hapa Dar es salaam, lkn kiswahili chake bado kile kile cha mabonde mabonde kama alieingia Dar mwaka jana!
Yah hapo kwenye utofauti wa R na L kapakariri vizuri 🤣🤣Afadhali yeye hachanganyi R na L kwenye Kiswahili chake cha mabonde bonde.
Ningekuwa sijaowa ningefika haraka shuleni hapo 🤣🤣🤣Ko huyu mwl anaelekea kustaafu? Ila bado analipa haswaa.
Kikokotoo kitamtesa labda awe aliwekezaKo huyu mwl anaelekea kustaafu? Ila bado analipa haswaa.
[emoji23][emoji23][emoji23] ili ufaudu mafao ya kikokotoo? WoiiiihNingekuwa sijaowa ningefika haraka shuleni hapo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli kabisa mkuu. Hapa ni kama vile kamlisha maneno ambayo waziri hakuyaongea.Wewe ni Innocent Bashungwa?
Kama umemnukuu kwanini hujaweka alama sahihi kuonesha maneno hayo alizungumza mtu mwingine?