Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Yanii anawaka balaa!Ko huyu mwl anaelekea kustaafu? Ila bado analipa haswaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanii anawaka balaa!Ko huyu mwl anaelekea kustaafu? Ila bado analipa haswaa.
Haswaa... 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] ili ufaudu mafao ya kikokotoo? Woiiiih
Hapanaa mbna kikokotoo kipo vizuri tyuuhKikokotoo kitamtesa labda awe aliwekeza
Mnooo unaweza sema hata 40s bado hajafika.Yanii anawaka balaa!
Acha hizooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haswaa... [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe una miaka 80Mbona mimi nimezeeka
Kwa vile umenisihi... acha nipite zangu... 🚶Acha hizooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni mwalimu wa kiswahili, lkn haishi kiswahili ndo maana anaonekana bado yuko vizuri kiafya na kimuonekano.Mnooo unaweza sema hata 40s bado hajafika.
Kumbe yupo already kupambana na kikokotoo.
Hatari sana !!Mnooo unaweza sema hata 40s bado hajafika.
Kumbe yupo already kupambana na kikokotoo.
Na kaishi marekani miaka na miaka.Kumbe waziri tuko nae muda mrefu hapa Dar es salaam, lkn kiswahili chake bado kile kile cha mabonde mabonde kama alieingia Dar mwaka jana!
Maana 1991 hadi sasa ni 32 years... na hajafafanua hiyo 91 hadi 93 alikua madarasa gani na huyo mwalimu alikua mwaka wa ngapi kazini!!Bashungwa mwenyewe anaonekana mdogo kwa umri wake.
Nimeshangaa kusikia amesoma shule ya msingi early 90’s ndipo nimemfuatilia kidogo kwa umri huo na muonekano huo hana tofauti na mwalimu wake.
Ni mlevi huyo wa siku nyingi.Mkuu wa mkoa wa dar es salaam nikimwangalia naona kama ni mtu wa TUNGI
Mliopo karibu yake mnaweza kutusaidia...
NB.
Karibuni KOMBUCHA ENERGY DRINK 🍷
Mpaka miaka ya 90's kama sikosei vyemaa ukimaliza la Saba unaweza enda kusoma ualimu grade A pia kulikuaga na WALIMU wa UPE (UALIMU PASIPO ELIMU) ☺️😊Bashungwa mwenyewe anaonekana mdogo kwa umri wake.
Nimeshangaa kusikia amesoma shule ya msingi early 90’s ndipo nimemfuatilia kidogo kwa umri huo na muonekano huo hana tofauti na mwalimu wake.
Maana 1991 hadi sasa ni 32 years... na hajafafanua hiyo 91 hadi 93 alikua madarasa gani na huyo mwalimu alikua mwaka wa ngapi kazini!!
Mh! Weee; Kuishi na mwl. iko shuguli.😀Ningekuwa sijaowa ningefika haraka shuleni hapo 🤣🤣🤣
wahaya ni ni kama Wayahudi. hata wazaliwe mji gani bado wanakichapa Kihaya hadi Kiswahili kibnakuwa kibovu.Kumbe waziri tuko nae muda mrefu hapa Dar es salaam, lkn kiswahili chake bado kile kile cha mabonde mabonde kama alieingia Dar mwaka jana!
Mke wa mtu huyo?Ningekuwa sijaowa ningefika haraka shuleni hapo 🤣🤣🤣