KANYAMA
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,514
- 2,325
K vant mkuu. Achana nazoMbona mimi nimezeeka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
K vant mkuu. Achana nazoMbona mimi nimezeeka
Bado kwenye husinisumbuhe!Yah hapo kwenye utofauti wa R na L kapakariri vizuri 🤣🤣
Wapi bhana! Hakuna formula ya jinsi ya kuishi na mwl. Labda ujitoe ufahamu. Walimu ni watata sana siku zote.Inategemea ntu na ntu 🤣🤣🤣
Mkuu sijawahi kutia mdomoni mwangu kinywaji chochote chenye kilevi toka nizaliweK vant mkuu. Achana nazo
Nimo na mimi. Ntavisit hii shuleKweli walimu hawazeeki lol bado analipa kabisa!
Chawa anashangilia kila kitu kila wakatiUalimu ni kazi ya baraka na iliyotukuka.
Inafanya unaishi Kwa kiasi na ndio Siri ya Walimu wengi jutozeeka.
Mungu ni mwema kila wakati. Leo nimekutana na mwalimu wangu Faith John aliyenifundisha Ubungo Kisiwani Shule ya Msingi kuanzia 1991-1993. Nimefurahi sana kukutana naye pamoja na walimu wenzake katika Shule ya Msingi Kibamba wakati wa ziara leo kukagua barabara zilizoathiriwa na mvua za El Nino.
My Take
Walimu Hawazeeki Mapema.
Inategemea na mazingiraMy Take
Walimu Hawazeeki Mapema.
Amemwachia kifuta jasho?Ualimu ni kazi ya baraka na iliyotukuka.
Inafanya unaishi Kwa kiasi na ndio Siri ya Walimu wengi jutozeeka.
Mungu ni mwema kila wakati. Leo nimekutana na mwalimu wangu Faith John aliyenifundisha Ubungo Kisiwani Shule ya Msingi kuanzia 1991-1993. Nimefurahi sana kukutana naye pamoja na walimu wenzake katika Shule ya Msingi Kibamba wakati wa ziara leo kukagua barabara zilizoathiriwa na mvua za El Nino.
My Take
Walimu Hawazeeki Mapema.
Vijana acheni kuwaza chini tu.Kweli walimu hawazeeki lol bado analipa kabisa!
Si na mimi au? Tuongozane kumtembelea kama ndo hivoVijana acheni kuwaza chini tu.
My take;kweli bado analipa akinipa sikatai
M
Yaliyomo YamoKo huyu mwl anaelekea kustaafu? Ila bado analipa haswaa.