Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitakiwa kuvaa vipi?Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Jaman haya makoti hapana, kama wazoa taka na hayana joto saaana
"harafu" ?na unawaita wenzio washambaWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Gwajima sio lofa ni mwanasheria sema tu amejiweka rafu sawa na mkewe wote wamekaa kirugaruga.Maisha haya yanatufundisha sio lazima mume utoboe
Anaweza kutoboa mke wewe ukafuata nyuma
Swala ni wewe mume kuwa makini
Pambana
Kipindi kile kuwa msukuma ilikua ni kigezo namba wani kwenye uteuzi.Magufuli aliwabeba mtu na shemeji yake na kuwapa ubunge na uwaziri, sijui ni kwa sababu ya kabila
Halafu kuna watu wanasema alikuwa mtetezi sijui wa wanyonge
ha !!mbona Kama jamaa anamburuza wife,ni Kama gwaji girl anagoma kwenda jamaa analazimisha![emoji23]
Mbona gwaji mr alivyomshika gwajigirl ni kama vile 'kamata mwizi?'
anavutwa vutwa tu mamikono hakijielewi kadaktari haka sijui kawapi hakaMama mrembo sana
Ulitaka niwaitaje"harafu" ?na unawaita wenzio washamba
Ww ni WA kike ?anavutwa vutwa tu mamikono hakijielewi kadaktari haka sijui kawapi haka
Sio wivu uvaaji gani huo anawashinda na Bibi yetu mama yetu uvaaji kwenye korido za watu humo watakua wanawaita majina yakila ainaAcha wivu