Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,967
- 8,547
HarafuWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HarafuWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
ChaguaHarafu
Tuoneshe picha ya wazazi wako wakiwa Berlin wamevaa kijanja.Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Mapenzi bwana!!! so huyu mama nae anabebishwaga licha ya kisirani chake chote😅
Ukimpata mwanamke anayekujali,hii inaonekana pia hata kwa Bananga.Maisha haya yanatufundisha sio lazima mume utoboe
Anaweza kutoboa mke wewe ukafuata nyuma
Swala ni wewe mume kuwa makini
Pambana
Tuoneshe picha ya wazazi wako wakiwa Berlin wamevaa kijanja.
Aisee huyo Gwajma Sr sio mnyonge kihivyo!!!Maisha haya yanatufundisha sio lazima mume utoboe
Anaweza kutoboa mke wewe ukafuata nyuma
Swala ni wewe mume kuwa makini
Pambana
Sasahivi vigezo vimebadilika...lazima uwe mfuasi wa dini ya mnyaazimungu.Kipindi kile kuwa msukuma ilikua ni kigezo namba wani kwenye uteuzi.
Qualification kilikua kigezo namba foo
Masikini!!! Kama hujui tulia siyo kila kitu useme neno!!Jaman haya makoti hapana, kama wazoa taka na hayana joto saaana
Atiii...unasema?Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
wazungu ndio wanavyovaa, wana damu za uzunguni ngozi tu ndio zimewaangusha.Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Masikini!!! Kama hujui tulia siyo kila kitu useme neno!!
Hela za walipa kodi.
Acha kuzingua broo!!Wamependeza!
Wamepungukiwa Nini ,yaani ni wewe unateseka ndiye unayeumia. Unacheki kukubalika sio lazima jaribu kuwa unique.kwani wewe ndiye si unit ya kucheki Nani akavaa unavyotaka wewe. Halafu Sasa unakuta ni dume zima. Unajua mana ya nguo lakiniWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Comment Yako imeua mkuu nimecheka kishenzi Yani!Tuoneshe picha ya wazazi wako wakiwa Berlin wamevaa kijanja.