periodic table
JF-Expert Member
- Apr 2, 2019
- 207
- 510
Matajiri hawana Mambo mengi Kama masikini ....Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Mkuu umepata mlo wa leo?Wamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Acha ukinga ebu wataje huyo mtu na shemeji yake ambao ni mawaziri.Magufuli aliwabeba mtu na shemeji yake na kuwapa ubunge na uwaziri, sijui ni kwa sababu ya kabila
Halafu kuna watu wanasema alikuwa mtetezi sijui wa wanyonge
Alimpa Gwajima Ubunge, kisha Gwajima huyu akampa Ubunge na UwaziriAcha ukinga ebu wataje huyo mtu na shemeji yake ambao ni mawaziri.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Bunju b ndo natoka kuelekea mbweni kituo cha afya mguu wakushoto unauma sijui njaapanda nimeruka kitugani mie mkuuWenzio wako Berlin wewe uko Bunju sehemu gani kiongozi?
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38] SanaMkuu umepata mlo wa leo?
Huyu waziri kzi anaijuaMagufuli aliwabeba mtu na shemeji yake na kuwapa ubunge na uwaziri, sijui ni kwa sababu ya kabila
Halafu kuna watu wanasema alikuwa mtetezi sijui wa wanyonge
Haina shidaWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Mshamba huyo jamaaTuoneshe picha ya wazazi wako wakiwa Berlin wamevaa kijanja.
Lack of exposure inakuumbuaHuko ujerumani hawali mananasi yalooza..kama bongo..ni mwendo wa maepo tu au sio.
#MaendeleoHayanaChama
Kuna shida?Hela za walipa kodi.
Acha kujikosha wewe gwajima nae tajiri !!! Mavazi muhimu kwa kila eneo Yuko Berlin anavaa Kama Yuko shambani kwake singida anakagua alizetiHaina shida
Most likely wenye shida ya mavazi ni sisi masikini
Wenye utajiri wa akili au Mali hawana mida ya kuangalia unachoangalia
Unaona sasa akili fupi haijaelewa ujumbe wanguAcha kujikosha wewe gwajima nae tajiri !!! Mavazi muhimu kwa kila eneo Yuko Berlin anavaa Kama Yuko shambani kwake singida anakagua alizeti
NakaziaWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Amepoa Sasa Field MarshallNimemmiss kweli huyu mama na vimbwanga vyake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ww ndio mshamba,unafahamu sasahv n msimu gani hukoWamevaa kishamba kwelikweli hovyo kabisa uko uko Berlin hapo harafu unavaa mavitambaa yako viatu havieleweki mtu washamba ni shamba tu
Mwanamke mshamba huyu jamani loh