Kwamba JK asiwe anafuatana na Samia. Alee wajukuuHujaeleweka
Upeo wako bado mdogo sana.Addis Ababa, Ethiopia July 8, 1990
Rais Mwinyi akiwa na Rais mstaafu Mwalimu Nyerere na waziri wa mabo ya nchi za nje Mkapa.
Hoja ya Mbowe na CHADEMA kweney maandamano Arusha inakosa nguvu kabisa , ni ya hovyo, na chuki binafsi
View attachment 2922367
Ngoja nijitahidiHujaeleweka
Kijana hii comment yako imenichekesha hadi udenda umeanguka 😂🤣🤣Hakuna hoja hapo ni wivu wa kike, roho mbaya na akili mbovu
Anataka anavyotaka takataka.Hujaeleweka