Picha ya Aziz K na Skudu Makudubela

Ni picha nzuri sana kwakweli. Zamani nilikuwa natamani kufanya kazi hii ya kupiga picha kwa ajili ya media, baada ya kutotimiza ndoto hizo bado ninajaribu kuipamba nyumba yangu kwa picha nzuri nzuri ukutani.

Tukiachana na hilo. Picha ya juu inamwonyesha Skudu akiwa na macho ya udadisi, ujanja ujanja, na sharp sana kama ya nyoka. Hata alivyoinua kichwa vile ni typically snake-style. Ndo maana jamaa mjanja mjanja sana.
 
Kabisa kaka picha kalii sana jamaa kaitendea haki sana yaani saana
 
Kaka haya ni majina ya utani tu ndo maana sisi yanga ni utopolo na simba ni makolo haya ni majina ya utani tu
Sioni kama ni UUNGWANA Kuitana Majina ya Kolo au Uto kwenye Jukwaa Lenye Great thinkers kama hili.

Tunatiana AIBU na Mambo ya kitoto kama hayo.

Mnachafua Hadhi ya Jamii Forum kwa Akili za kitoto
 
Mkuu kwanini ishindikane bado una muda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…