Gusa achia twende kwao
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 248
- 287
Wasipokuja kwa Gadi watapigwa bila idadiKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.
Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA
Hii hapa
View attachment 3198820
Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana
Kauli yenyewe hii hapa
View attachment 3198826
Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!
View attachment 3198829
Mungu Ibariki CHADEMA.
'it were' mmh nime google sjaona sentensi ya hivi mkuu.kweli kilikuja na meli...soma hii na useme kosa liko wapi
If it were me
Use "if it were me" when describing an imaginary situation or something that's contrary to fact.
let us discuss !
hujui kiingereza.. ume google wapi, take this then'it were' mmh nime google sjaona sentensi ya hivi mkuu.
Kinyago wakichonge wenyewe kitawatisha vipi?!Unateseka ?ivumilieee Mashine ndo kwanza zimapewa Maelekezo Engine room
Chadema inapiga ngoma mbogamboga fc inakata maunoKinyago wakichonge wenyewe kitawatisha vipi?!
Endeleeni kucheza midundo ya wanaume wenzenu mkijastuka kazi imeisha kama kawaida.
Duh sawahujui kiingereza.. ume google wapi, take this then
If it were me uses the subjunctive mood. Formal, prescriptive grammar authorities will tell you this is correct. You must use the subjunctive to express a condition contrary to fact.
Which one is correct? 'If it was me' or 'if it were me'?
The short answer
They are both fine. But! They can mean different things or they can mean the same thing in some dialects.
Conditional
“If” can introduce conditional clauses. “If” X happens, then Y is the basic idea.
“If it was/were me” is not a complete sentence. It is an introductory clause setting a condition for something that is to follow. Perhaps:
- “If it was/were me, I wouldn’t say a word about it.”
- “If it was were me, I’d talk to a lawyer about a possible lawsuit.”
We uko na nani...??Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.
Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA
Hii hapa
View attachment 3198820
Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana
Kauli yenyewe hii hapa
View attachment 3198826
Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!
View attachment 3198829
Mungu Ibariki CHADEMA.
nimesoma kiingereza kuanzia 1962 datasa la kwanza up to now! Najua wewe ni wa shule za kata, walimu wako wooooooooooote failure either wa form 4 or 6. sasa ujauaje kiingereza?Duh sawa
nimesoma kiingereza kuanzia 1962 datasa la kwanza up to now! Najua wewe ni wa shule za kata, walimu wako wooooooooooote failure either wa form 4 or 6. sasa ujauaje kiingereza?
Have a nice day!
typo err..... can't you figure out what I meant to write? darasa ,utajuaje .....that much simple!'datasa' ?
'ujauaje'' ?
Oky kikubwa pumzi
Wanaharakati uchwara watamind sana...
Hiyo picha haisambazwi kabisa na wale diaspora 30 wa SyW
Niko na ChademaWe uko na nani...??
Inaonekana ni timu mbowe wewe... sema ndo vile hapa jamvini watu watakushukia. Onyesha tu rangi yako ni wakti sahihiNiko na Chadema