Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Punguza hasira na panic na usichukulie kila kitu serous wakati wa kampeni zile ni siasaHuyu Lissu si machadema yanasema anaropokaga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza hasira na panic na usichukulie kila kitu serous wakati wa kampeni zile ni siasaHuyu Lissu si machadema yanasema anaropokaga?
Yah right!Honestly sielewi umeongea utoto gani kwenye hii personal attack yako.
🤣 doh!Hii picha imewaumiza sana ccm walijua chadema ndo kimeshambaratika
Baba Mgaya kanuna tangia jana hata ulanzu amegoma huko lumumba matumbo motoHii picha imewaumiza sana ccm walijua chadema ndo kimeshambaratika
Narudia tena, punguza utoto kwani hata sielewi hoja yako ni ipi hapa.Yah right!
Unajizima data.
Uzuri upepo wa majuzi umetuonyesha nyeti za Jogoo wenu, tumewajua wepesi wenu na zaidi uwoga wenu.
Ila Mbowe kwa kweli Mungu ambariki tu! Pamoja na kusemwa vibaya bado anamwaga tabasamu tu! Mnaomchafua Mbowe mkome! Hivi ukiondoka CHADEMA wapi utaenda ukanenepe? Msigwa anazidi kupauka tu!Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.
Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA
Hii hapa
View attachment 3198820
Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana
Kauli yenyewe hii hapa
View attachment 3198826
Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!
View attachment 3198829
Mungu Ibariki CHADEMA.
Mgombea wangu wa Urais ni JJ Mnyika na Salum Mwalimu!Mbowe mwenyekiti, Lisu rais niko palee
Unateseka ?ivumilieee Mashine ndo kwanza zimapewa Maelekezo Engine room🤣 doh!
Yaani unakichonga kinyago mwenyewe mchana wa Jua kali eti ghafla usiku umeme unakatika kianze kukutisha wewe mwenyewe mchongaji?!
Wafuasi wa Viongozi wa CHADEMA ni maajabu mengine yafaa kusajiriwa UNESCO.
Kwani diaspora wana shida na Mbowe? Mbona kwa miaka yote ya nyuma ndiyo wamekuwa mashabiki wake wakubwa? Bila Mbowe kukubali kuwa miaka 20 aliyokaa inatosha, sidhani kama CHADEMA itakuwa salama. Mengine yote ni kujaribu kufunika moto kwa magunia tu.Wanaharakati uchwara watamind sana...
Hiyo picha haisambazwi kabisa na wale diaspora 30 wa SyW
Msamehe huyo ni crecheuroojoNarudia tena, punguza utoto kwani hata sielewi hoja yako ni ipi hapa.
Namwonea huruma Msigwa jamani aiseeehh kule kama yatimaIla Mbowe kwa kweli Mungu ambariki tu! Pamoja na kusemwa vibaya bado anamwaga tabasamu tu! Mnaomchafua Mbowe mkome! Hivi ukiondoka CHADEMA wapi utaenda ukanenepe? Msigwa anazidi kupauka tu!
Hii ilikuwa ya mapema saana wakikumbatiana.Watupie na ya Heche pamoja na Wenje Chadema chama komavu....
Msigwa aliona maisha ndani ya CDM ni mgumu, ila ni kheri ukae kwenu ule nguna maharage kuliko uhamishoni biriani kuku.Namwonea huruma Msigwa jamani aiseeehh kule kama yatima
Kabisa Mkuu....kwenu ni kwenu tuMsigwa aliona maisha ndani ya CDM ni mgumu, ila ni kheri ukae kwenu ule nguna maharage kuliko uhamishoni biriani kuku.
Diaspora wa SyW wana shida kubwa na mboweKwani diaspora wana shida na Mbowe? Mbona kwa miaka yote ya nyuma ndiyo wamekuwa mashabiki wake wakubwa? Bila Mbowe kukubali kuwa miaka 20 aliyokaa inatosha, sidhani kama CHADEMA itakuwa salama. Mengine yote ni kujaribu kufunika moto kwa magunia tu.
Sasa kipindi cha kampeni unataka watu wasifiane a.k.a kuimbiana mapambio unasafari ndefu sana kifikra🤣 doh!
Yaani unakichonga kinyago mwenyewe mchana wa Jua kali eti ghafla usiku umeme unakatika kianze kukutisha wewe mwenyewe mchongaji?!
Wafuasi wa Viongozi wa CHADEMA ni maajabu mengine yafaa kusajiriwa UNESCO.
Nyumbu tu ndio watadanganyika na huo unafikiKuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile picha iliyosubiriwa na wengi, kwa ajili ya kuufungua mwaka 2025, tayari imepatikana.
Picha hiyo Kabambe imepatikana Mikocheni kwenye Vikao vya Usaili vya Wagombea wa CHADEMA
Hii hapa
View attachment 3198820
Jambo hil linalotufungulia Mwaka limeambatana na Kauli Mbiu Mpya ambayo ni Rahisi kutamkwa hata na mtoto wa miezi miwili huku ikibeba maana kubwa sana
Kauli yenyewe hii hapa
View attachment 3198826
Bali kinachoshangaza ni kitendo cha Wadau wa siasa kuendelea kupigwa na Bumbuwazi huku Mamluki Wakishangaa!
View attachment 3198829
Mungu Ibariki CHADEMA.