Hii haina shida , ni Expansion Joint ya barabaraMbona huyu aliyesambaza hizi picha hatafutwi achukuliwe hatua? Si ndio kitu mmeona cha kufanya zikitumwa picha za madhaifu yenu CCM
Kweli inahitaji innovation 🙂Kwani kimejegwa leo ujue kama miundo mbinu uwa inachoka na inaitaji innovation
Kama Hawa ndio mainjinia kazia IPO tuendelee TU ku " Innovate"Kweli inahitaji innovation 🙂
So hii inatosha kuwa excuse mkuu?Miaka yote eneo hilo liko hivyo
Imeshazungumzwa mno na hakuna utekelezaji, Akiba pale kujaa maji ni jambo la kawaida ndo maana nasema miaka yote iko hivo tangu enzi ya serikali ya MkapaSo hii inatosha kuwa excuse mkuu?
AnatafutwaMbona huyu aliyesambaza hizi picha hatafutwi achukuliwe hatua? Si ndio kitu mmeona cha kufanya zikitumwa picha za madhaifu yenu CCM
Tatizo hamjui kama wazee wetu walikuwa wakiishi Bagamoyo na Kisarawe na hiyo Dar es Salaam ya leo kuanzia vingunguti hadi postal ndo yalikuwa mashamba yao ya mpunga. Sasa mpunga unalimwa kwenye mazingira gani.Mvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe,mambo ya hovyo sana haya hakukuwa na upembuzi yakinifu
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es salaam campus kisa chuo kujaa maji
USSR View attachment 2511702
View attachment 2511704
Wabongo Ujanja ujanja mwingi Mjerumani hakukijenga hivyoMvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe,mambo ya hovyo sana haya hakukuwa na upembuzi yakinifu
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es salaam campus kisa chuo kujaa maji
USSR View attachment 2511702
View attachment 2511704