johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Maji yalikuwa hayaingii NdaniAsa aliyejenga chuo amekosa nini?
Huwezi kuona kuwa the whole area ina shida.........
Kwanini usiseme aliyechagua hilo eneo?
Huo mlango haukuwepo zamani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maji yalikuwa hayaingii NdaniAsa aliyejenga chuo amekosa nini?
Huwezi kuona kuwa the whole area ina shida.........
Kwanini usiseme aliyechagua hilo eneo?
lets yalikuwa hayaingii ndani, yakikaa nje ya Chuo ni sawa.Maji yalikuwa hayaingii Ndani
Huo mlango haukuwepo zamani!
Kwani kimejegwa leo ujue kama miundo mbinu uwa inachoka na inaitaji innovation
Hawa vijana wameletwa mjini na chuo hawajui kuwa akiba mvua kidogo tu Ni man made lake!Imeshazungumzwa mno na hakuna utekelezaji, Akiba pale kujaa maji ni jambo la kawaida ndo maana nasema miaka yote iko hivo tangu enzi ya serikali ya Mkapa
Mi nilisoma renovation,[emoji3]Renovation sio innovation
Wazee wako wapo namtumbo acha kelele dogoTatizo hamjui kama wazee wetu walikuwa wakiishi Bagamoyo na Kisarawe na hiyo Dar es Salaam ya leo kuanzia vingunguti hadi postal ndo yalikuwa mashamba yao ya mpunga. Sasa mpunga unalimwa kwenye mazingira gani.
Mafuriko ni hali ya kawaida dunia nzima kwasababu wakati mwingine historia inaanza pale palipoandikwa kama hapakuandikwa mnakuwa hamjui huko nyuma (say 100 years) kulikuwa na nini. Huo mto Msimbazi ulikuwa bonge ya mto kama unavyouona mto Ruvu leo. Ndio maana njia ya kwenda Bara ilipita Bagamoyo Hadi Msata kwasababu ndiko makazi yalikokuwa. Dar ni mji mpya uliokuwa na madimbwi ya maji katika maeneo mengi.
Yalikuwa yanajaa kule Utumishi na Nssflets yalikuwa hayaingii ndani, yakikaa nje ya Chuo ni sawa.
Hii ndiyo Bongo bhana !!Mvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe,mambo ya hovyo sana haya hakukuwa na upembuzi yakinifu
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es salaam campus kisa chuo kujaa maji
USSR View attachment 2511702
View attachment 2511704
Inasikitisha sana mkuu, hawa ndo graduates wa madarasa yaliyojengwa kwa pesa za uviko....Kweli inahitaji innovation 🙂
Kweli kabisa, Namtumbo wapo kule maana si unaona mfanano wa Namtumbo na Kisarawe.Wazee wako wapo namtumbo acha kelele dogo
USSR
Bado siyo excuse kwenye hii kadhia kwani si mara ya kwanza mafuriko kutokea kwenye maeneo hayo, Engineers wa miundombinu wana kazi gani?Tatizo hamjui kama wazee wetu walikuwa wakiishi Bagamoyo na Kisarawe na hiyo Dar es Salaam ya leo kuanzia vingunguti hadi postal ndo yalikuwa mashamba yao ya mpunga. Sasa mpunga unalimwa kwenye mazingira gani.
Mafuriko ni hali ya kawaida dunia nzima kwasababu wakati mwingine historia inaanza pale palipoandikwa kama hapakuandikwa mnakuwa hamjui huko nyuma (say 100 years) kulikuwa na nini. Huo mto Msimbazi ulikuwa bonge ya mto kama unavyouona mto Ruvu leo. Ndio maana njia ya kwenda Bara ilipita Bagamoyo Hadi Msata kwasababu ndiko makazi yalikokuwa. Dar ni mji mpya uliokuwa na madimbwi ya maji katika maeneo mengi.
Mainjijia watafanya nini kama mmejenga baharini bwasheeBado siyo excuse kwenye hii kadhia kwani si mara ya kwanza mafuriko kutokea kwenye maeneo hayo, Engineers wa miundombinu wana kazi gani?
Chongeni mitumbwi sasa, muanze kuvua na samaki kabisaMvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe,mambo ya hovyo sana haya hakukuwa na upembuzi yakinifu
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es salaam campus kisa chuo kujaa maji
USSR View attachment 2511702
View attachment 2511704
Renovations siyo innovation pekee.Kwani kimejegwa leo ujue kama miundo mbinu uwa inachoka na inaitaji innovation
Wanajenga kulingana na pesa YakoMvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe,mambo ya hovyo sana haya hakukuwa na upembuzi yakinifu
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es salaam campus kisa chuo kujaa maji
USSR View attachment 2511702
View attachment 2511704
Watasema siyo mwendazake aliyekuwa anaendesha nchi kwa akili yake tu na kujiona ni mtaalamu kila mahalizikitumwa
Wanunue mtumbwi kwa matukio ya dharura kama hayaMvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe,mambo ya hovyo sana haya hakukuwa na upembuzi yakinifu
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es salaam campus kisa chuo kujaa maji
USSR View attachment 2511702
View attachment 2511704