MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Kama.barabara zinajengwa Bila mitaro ya kuchukua Maji unatarajia nini? Dar salaam wanajua kujenga maghorofa marefu lakini barabara pembeni hazina mitaro. Jana hapo post nguma ya morogoro road kuazia kituo cha kisutu kupanda juu kulikua hakupitiki barabara zimejaa maji. Ila pembeni kuna majengo marefu yamejaa nakshi.hadi paani. Poor dar es salaam.Mvua ya masaa tu chuo kimekuwa mto, aliyejenga hapa atafutwe awajibishwe. Mambo ya hovyo sana haya, hakukuwa na upembuzi yakinifu.
Leo watu wamehailisha mitihani Dar es Salaam Campus kisa chuo kujaa maji.
USSR View attachment 2511702
View attachment 2511704