Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Kuna kipindi walikuwa hawaivi hatar, kipindi kile aunty ezekiel ndo diva wa bongo movie , wema alimtukanaga aunty akamwambia sura yake mbaya imekomaa hata haifai kukaa kwenye magazeti, eti leo hii wanajifanya mapacha duh kazi kweli
Hahhha kumbeee kazi kwelii binam labda ufunge maombi tu kulia haisaidiiii