Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Kuna cyber law inayotakiwa kupitishwa bungeni, yeyote atakayekuwa anasambaza picha za namna hii atachukuliwa sheria. hata kama ulitumiwa wewe utakaye-resend pia utakuwa responsible. FUTA DELETE KABISA
Unataka wabunge wasiwe na raha, siyo? Fika Dodoma kipindi cha bunge uone maajabu ya dunia. Huku bunge linaendelea wabunge wengine wako baa na machangu wakitumiana picha za mademu wao ambao wengine ni wake, watoto, mama zetu.