Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Ni kweli, nasikia aliumwa sana had akapoteza fahamu kwa dakikia 29 , nasikia shoga ake aunty ezekiel ndo akamwagia maji baadae akazinduka, sasa ivi madai ndo anaiomba serikali na mamlaka ya mawasiliano TCRA waingilie kati kuhusu watu wanaotukana ovyo mitandaoni
Kakomeshwaaaaa nami nasemaaa