Picha ya mama Wema

Picha ya mama Wema

We nae unaomba sorry ya nini?? Kama humpendi mtu si humpend tu, kwan nani atakushikia bango?? Waende zao uko, timu dengue kanifuraisha sana , kawapa kubwa kuliko, wote kimyaaa

mwenzangu nawaambia tu bora uwoya ht km kicheche hana show off za kishenzi
 
Bibi bomba wema kujifanya kim kardashian, hela yenyew hana, show off nyingi

nilikuwa nampenda ila toka aanze mbwembwe am not in her boat kwa kweli ht kpnd chake nilikuwa siangalii
 
teh teh teh....maza kagegedwa...nyoka mtoto...nyoka mama...!
 
Siamini kama Wena seriously kaguswa na kile ambacho amefanyiwa mama ake she's heartless kwa kweli kuna time nashindwa kuamini yanayoandikwa kwenye IG page yake alafu anapiga kimya mpaka nahisi amewapeleka chuo cha matusi watu wake,simply akina mama wengi wamedhalilishwa kwa kutukanwa kwenye page yake na yeye anakenua tu mimi naamini ametengeneza hili janga kwa mikono yake acha ahangaike na wanaomuhusu na ajiulize kwa nini mama ake na alivyo mwehu baada ya muda kaendelea na post zake kama kawa i thought angepumzika kwa muda yule binti full maigizo i sure she got it from her mama.
Such a B****
 
Siamini kama Wena seriously kaguswa na kile ambacho amefanyiwa mama ake she's heartless kwa kweli kuna time nashindwa kuamini yanayoandikwa kwenye IG page yake alafu anapiga kimya mpaka nahisi amewapeleka chuo cha matusi watu wake,simply akina mama wengi wamedhalilishwa kwa kutukanwa kwenye page yake na yeye anakenua tu mimi naamini ametengeneza hili janga kwa mikono yake acha ahangaike na wanaomuhusu na ajiulize kwa nini mama ake na alivyo mwehu baada ya muda kaendelea na post zake kama kawa i thought angepumzika kwa muda yule binti full maigizo i sure she got it from her mama.
Such a B****

kula like
 
nasikia wema kazimia kuhus zile picha, mbona wanaanza kunitia wasi wasi, sasa kama picha za uwongo wanahangaika nazo za nini, au usikute hizo picha za kweli, watu mpak wanajizimisha

kuzimia hajazimia binamu

huo ni uongo mtakatifu sema alipanick ni sawa kupanick maana hata mtu ukisemwa uongo it's obvious kupanick
leo insta kaweka clip anaimba ka wimbo Fulani hivi
 
kuzimia hajazimia binamu

huo ni uongo mtakatifu sema alipanick ni sawa kupanick maana hata mtu ukisemwa uongo it's obvious kupanick
leo insta kaweka clip anaimba ka wimbo Fulani hivi

Ni kweli, nasikia aliumwa sana had akapoteza fahamu kwa dakikia 29 , nasikia shoga ake aunty ezekiel ndo akamwagia maji baadae akazinduka, sasa ivi madai ndo anaiomba serikali na mamlaka ya mawasiliano TCRA waingilie kati kuhusu watu wanaotukana ovyo mitandaoni
 
Ni kweli, nasikia aliumwa sana had akapoteza fahamu kwa dakikia 29 , nasikia shoga ake aunty ezekiel ndo akamwagia maji baadae akazinduka, sasa ivi madai ndo anaiomba serikali na mamlaka ya mawasiliano TCRA waingilie kati kuhusu watu wanaotukana ovyo mitandaoni

wapuuz tu wale wanatafta kiki
 
wapuuz tu wale wanatafta kiki

Mmh aunty ezekiel nae aka mbeba pochi wa wema kazi anayo, nilikuwa namkubal sana Aunty, toka ajifanye msukule wa wema sepetu sijui nalionaje, yan linapelekeshwa kama msukule wa gwajima, yani ukitak ushoga na wema sharti uwe msukule atakachosema ndo hicho unafanya, na ndio maana haziivi na wolper wala uwoya coz wote wanajiona ma diva
 
Eti sasa ivi ndo anajifanya kuiomba serikali na tcra kuingilia kati kuhusu watu wanaotukana kwenye mitandao, manina zake mwache akione cha mtema kuni , yan team dengue nimempenda bure, maana timu wema walikuwa wanajifanyag wamepinda na kushindikan

Bina roho mbayaa hata huniitii nimepitwa hiv hivvv
 
Back
Top Bottom