Picha ya mama Wema

Picha ya mama Wema

Kajala katukanwa sana na mwanae na huyo jipange, halaf leo linajifanya eti watu wamuogope mungu, ila yeye wakat anamtukana kajala na mwanae ndo alikuwa hamuogop mungu?? Ki ukweli huyo mtu kanifuraisha sana , kawakomesha vibaya, ila katisha, team wema kimyaa kubabeki wanajifanyag wamepinda kumbe kuna watu wamekatika kabisa

Hahahahhaha yaani kweli hawa wamekatika kabisa. Niliona post moja dada yake wema aliandika "haya sasa iumepata ulichokuwa unakitafuta "
 
Hahahahhaha yaani kweli hawa wamekatika kabisa. Niliona post moja dada yake wema aliandika "haya sasa iumepata ulichokuwa unakitafuta "

Watu wabunifu, sijui huyo mtu aliwaza nini?? Sipat picha kajala alivyofurah na akina penny
 
Watu wabunifu, sijui huyo mtu aliwaza nini?? Sipat picha kajala alivyofurah na akina penny

Lazima waaherehekee kwafuraha. Maana teamwema wanadhalilisha sana watu. Pia. Jackline wolper atakua amefurahi maana wamemuandama sana.khaaaa
 
Kajala katukanwa sana na mwanae na huyo jipange, halaf leo linajifanya eti watu wamuogope mungu, ila yeye wakat anamtukana kajala na mwanae ndo alikuwa hamuogop mungu?? Ki ukweli huyo mtu kanifuraisha sana , kawakomesha vibaya, ila katisha, team wema kimyaa kubabeki wanajifanyag wamepinda kumbe kuna watu wamekatika kabisa

Kwani kuna nini nipe umbea binamu
 
Huu ni ujinga unahitaji kukemewa.... Tena wachapwe viboko hadharani. Heshima ya wazazi izingatiwe hata Kama uliokotwa.
 
Kwani kuna nini nipe umbea binamu

Watu sijui wame edit picha ya mama wema au ni yeye akiwa uchi na manyonyo pamoja na kipwapwiso njee halaf sura ya mama wema ndo zimesambazwa insta uko
 
Lazima waaherehekee kwafuraha. Maana teamwema wanadhalilisha sana watu. Pia. Jackline wolper atakua amefurahi maana wamemuandama sana.khaaaa

Halafu watu bhana, wanajifanya kumpa pole wema mbona kajala alivyotukanwa sana hata sikuona watu wakimpa pole ndo kwanza wanamkandia, malipo apa apa duniani, kuuma inauma sana asikwambie mtu, mama mzazi wamuweke uchi?? Halaf mtu mzima, inauma sana, huyo mtu kaumiza familia nzima, na wema ndo ajifunze na hizo team zake ambazo hazumsaidiii chochote
 
Halafu watu bhana, wanajifanya kumpa pole wema mbona kajala alivyotukanwa sana hata sikuona watu wakimpa pole ndo kwanza wanamkandia, malipo apa apa duniani, kuuma inauma sana asikwambie mtu, mama mzazi wamuweke uchi?? Halaf mtu mzima, inauma sana, huyo mtu kaumiza familia nzima, na wema ndo ajifunze na hizo team zake ambazo hazumsaidiii chochote

Kiukweli mi nimefedheheka kwa ajili ya mama na other family members.. but wema deserve the pain
 
Ndo wakome, kajala alivyokuwa akitukanwA na mwanae na picha zake za uchi kuzisambaza walikuwa wanaona utamu eeh?? Sasa ndo wajifunze hizo team zao sio nzur, mi kwa upande wangu ki ukweli nimefurah sana, maana hat wema wakat team yake ikimtukana kajala na mwanae alikuwa kimya badala ya kuikanya team yake, na yeye yamemkut, saf san, m nimefurahi

Sishangai maneno kama hayo kutoka kwako Warumi sababu sikuzote nasoma post na comments zako juu ya Wema huwa ni negative , lakini kwahili hupaswi kufurahia labda kama una matatizo ya akili kidogo kichwani.
Kajala na Wema wakitukanwa na team zao ni sawa sababu wao ndio players lakini kama mtoto wa Kajala akitukanwa ni makosa pia.
 
Watu sijui wame edit picha ya mama wema au ni yeye akiwa uchi na manyonyo pamoja na kipwapwiso njee halaf sura ya mama wema ndo zimesambazwa insta uko

Picha ni orijino ile ..haija editiwa
 
Sishangai maneno kama hayo kutoka kwako Warumi sababu sikuzote nasoma post na comments zako juu ya Wema huwa ni negative , lakini kwahili hupaswi kufurahia labda kama una matatizo ya akili kidogo kichwani.
Kajala na Wema wakitukanwa na team zao ni sawa sababu wao ndio players lakini kama mtoto wa Kajala akitukanwa ni makosa pia.

Ndio nina matatizo ya akili so what??
 
Wamefurahi kama wewe ulivyofurahi!!! msiojua thamani ya wazazi na maana yake.

All in all she need to change maana hizo team zake ni watu wake wa karibu sana inabidi awaaambie waache kudhalilisha watu ili nae asiumie. Kuna kipindi walimdhalilisha sana mtoto was Kajala.
 
Wamefurahi kama wewe ulivyofurahi!!! msiojua thamani ya wazazi na maana yake.

Kayataka na team zake za kipumbavu, yeye wenzie walivyokuwa wakitukanwa na team zake si alikuwa anafurah , mwache yamkute na yeye
 
Nadhani kama kulikuwa na bifu ni bora wangeweka picha wema mwenyewe kuweka picha za mama Wema siyo istaarabu kabisaa
 
Nadhani kama kulikuwa na bifu ni bora wangeweka picha wema mwenyewe kuweka picha za mama Wema siyo istaarabu kabisaa

Huo ndio ukweli wangeweka picha ya Wema na si mama yake, ni ukosefu wa adabu na heshima, kuna mambo watu huwa wanafanya wanafikiri ni sifa lakini wanajitwalia laana na mikosi pasipo kujua.
 
All in all she need to change maana hizo team zake ni watu wake wa karibu sana inabidi awaaambie waache kudhalilisha watu ili nae asiumie. Kuna kipindi walimdhalilisha sana mtoto was Kajala.

Wema na Kajala ni watu wazima lakina nashangaa kwanini wameruhusu wapu.uuzi (team) kuendesha maisha yao, wao wana deserve kufanyiwa hayo kama wao , lakini si kwa mama Wema wala mtoto wa Kajala hawa wanahitaji kuheshimiwa.
 
Back
Top Bottom