Picha ya mama Wema

Picha ya mama Wema

Ndo wakome, kajala alivyokuwa akitukanwA na mwanae na picha zake za uchi kuzisambaza walikuwa wanaona utamu eeh?? Sasa ndo wajifunze hizo team zao sio nzur, mi kwa upande wangu ki ukweli nimefurah sana, maana hat wema wakat team yake ikimtukana kajala na mwanae alikuwa kimya badala ya kuikanya team yake, na yeye yamemkut, saf san, m nimefurahi

Ni kweli binamu wanapenda kumnyoshea kajala kutukana hadi na mtoto wake badala.ya kuziambia waache madhara yake ndo hayo sasa yamefka hadi kwake naye azikanye tulisema wanaona watu ni hater ona sasa.wanakupanda really.hzi team zimekosa kazi
 
Ndo wakome, kajala alivyokuwa akitukanwA na mwanae na picha zake za uchi kuzisambaza walikuwa wanaona utamu eeh?? Sasa ndo wajifunze hizo team zao sio nzur, mi kwa upande wangu ki ukweli nimefurah sana, maana hat wema wakat team yake ikimtukana kajala na mwanae alikuwa kimya badala ya kuikanya team yake, na yeye yamemkut, saf san, m nimefurahi

goes around comes around
 
Kwa hawa wasani wanaweza kutengeneza wenyewe ili wawe maarufu..hawa wasanii naona kama mapunguani..
 
Ndo wakome, kajala alivyokuwa akitukanwA na mwanae na picha zake za uchi kuzisambaza walikuwa wanaona utamu eeh?? Sasa ndo wajifunze hizo team zao sio nzur, mi kwa upande wangu ki ukweli nimefurah sana, maana hat wema wakat team yake ikimtukana kajala na mwanae alikuwa kimya badala ya kuikanya team yake, na yeye yamemkut, saf san, m nimefurahi

Iam douting if you have a mumy so sorry lakini hiki kitu sio cha kufurahia angekua kawekwa wema kweli haki ufurahi lakini sio kwa mzazi!Nimeaikitika sana yaani mimi jf sio mchangiaji lakini kwa hili umekosea sana mkuu na nyie mnaosapoti just imagine angekua mama yako,iam not team wema or something but the matter ni mzazi hapa no.matter how you hate wema this is too much!
 
Kiukweli mi nimefedheheka kwa ajili ya mama na other family members.. but wema deserve the pain

Sasa mkuu.... kwani Kajala hana wazazi!!! Hana ndugu!!! Walioumia.... !!!! Muosha huoshwa.... saaaafi... tena safi sanaaaaaaa.....
 
Hata tutetee vipi huu upuuzi lakini tutambue ya kuwa kosa moja halifanyi kosa jingine kuonekana si kosa. Kutukanwa kwa Kajala na wema kukaa kimya hakuhalalishi mama wa Wema kutukanwa.
Watu wanafikiri ndivyo watakavyojibu hivi siku ya hukumu kwamba.."wao walimtukana wa fulani ndo maana nikaona na mimi niunge mkono kutukana kwa wa kwao"....
Hizi zinazojiita 'team' zote zimejaa wapuuzi na watu wasio na maadili.Kwa sisi kuendelea kuunga mkono matendo ya timu yoyote ni kujiogesha katika uchafu wao na matope ya upuuzi wao.
Nachukia sana kutukanana hasa kuitukana hii miili ambayo MUNGU ametupa bure kama zawadi.
 
Hata tutetee vipi huu upuuzi lakini tutambue ya kuwa kosa moja halifanyi kosa jingine kuonekana si kosa. Kutukanwa kwa Kajala na wema kukaa kimya hakuhalalishi mama wa Wema kutukanwa.
Watu wanafikiri ndivyo watakavyojibu hivi siku ya hukumu kwamba.."wao walimtukana wa fulani ndo maana nikaona na mimi niunge mkono kutukana kwa wa kwao"....
Hizi zinazojiita 'team' zote zimejaa wapuuzi na watu wasio na maadili.Kwa sisi kuendelea kuunga mkono matendo ya timu yoyote ni kujiogesha katika uchafu wao na matope ya upuuzi wao.
Nachukia sana kutukanana hasa kuitukana hii miili ambayo MUNGU ametupa bure kama zawadi.

Malipo mi humuhumu...na hiyo ndio hukumu yao....
 
Malipo mi humuhumu...na hiyo ndio hukumu yao....
Sasa kwanini sisi kujitafutia makosa kwa kujiingiza kwenye kuhukumiwa kwao!!?
Wao kama hukumu inawatembelea sie twapaswa kukaa pembeni tupate funzo sio kuanza ushabiki kwa kuhalalisha kutukanana kwao
 
Iam douting if you have a mumy so sorry lakini hiki kitu sio cha kufurahia angekua kawekwa wema kweli haki ufurahi lakini sio kwa mzazi!Nimeaikitika sana yaani mimi jf sio mchangiaji lakini kwa hili umekosea sana mkuu na nyie mnaosapoti just imagine angekua mama yako,iam not team wema or something but the matter ni mzazi hapa no.matter how you hate wema this is too much!

kwa hiyo kajala alivyokuwa anadhalilishwa na mwanae na picha za uchi ndo kitu cha kufuraia? Au kwa kuwa wema maarufu ndo mnamtetea?? Ndo ajue sasa hayo maumivu anayoyapat yeye ndo aliyeyapat kajal na mwanae kipind kile baada ya kutukanwa na team za wema na wema mwenyew kukaa kimya, no matter what apate na yeye maumivu ndo aone kuwa kajal alikuwa anaumia pia
 
Hata tutetee vipi huu upuuzi lakini tutambue ya kuwa kosa moja halifanyi kosa jingine kuonekana si kosa. Kutukanwa kwa Kajala na wema kukaa kimya hakuhalalishi mama wa Wema kutukanwa.
Watu wanafikiri ndivyo watakavyojibu hivi siku ya hukumu kwamba.."wao walimtukana wa fulani ndo maana nikaona na mimi niunge mkono kutukana kwa wa kwao"....
Hizi zinazojiita 'team' zote zimejaa wapuuzi na watu wasio na maadili.Kwa sisi kuendelea kuunga mkono matendo ya timu yoyote ni kujiogesha katika uchafu wao na matope ya upuuzi wao.
Nachukia sana kutukanana hasa kuitukana hii miili ambayo MUNGU ametupa bure kama zawadi.

Nikweli kumtukana mzazi wa Wema hawa wapuuzi hawawezi kuwa na excuse yoyote ile. Kajala na Wema wana haki ya kutukanana sababu ndio maisha waliyoyachagua. Nashangaa sana watu humu wanaoshabikia na inawezekana ndio hao hao waliopost huo ujinga inst.
 
kwa hiyo kajala alivyokuwa anadhalilishwa na mwanae na picha za uchi ndo kitu cha kufuraia? Au kwa kuwa wema maarufu ndo mnamtetea?? Ndo ajue sasa hayo maumivu anayoyapat yeye ndo aliyeyapat kajal na mwanae kipind kile baada ya kutukanwa na team za wema na wema mwenyew kukaa kimya, no matter what apate na yeye maumivu ndo aone kuwa kajal alikuwa anaumia pia

Nashangaa kwanini mnaingiza mambo ya Kajala hapa,swala hapa ni mama Wema kudhalirishwa wakati hausiki kwenye ujinga wa kina Wema na Kajala,
Wangemfanyia Wema sababu ndio mgomvi wao na si mama yake.
Nakushauri usipende kushabikia vitu hata kama ni upuuzi hata kama humpendi Wema.
 
Nashangaa kwanini mnaingiza mambo ya Kajala hapa,swala hapa ni mama Wema kudhalirishwa wakati hausiki kwenye ujinga wa kina Wema na Kajala,
Wangemfanyia Wema sababu ndio mgomvi wao na si mama yake.
Nakushauri usipende kushabikia vitu hata kama ni upuuzi hata kama humpendi Wema.

Kama huu ni upuuzi basi na wewe ni mpuuzi nambar moja

sasa hata kama ukijifanya kuumia haisaidii kama kudhalilishwa kashadhalilishwa tayar, apo akae chini ajiulize kwa nini wamdhalilishe mama yake na sio mama wa mwingine? Akipat jibu sidhan kama hili tatizo litatokea tena, haijalish kama ugomvi wa wema hauhusiani na mama yake au mtu mwingine. Binadamu tuna vichaa vya asili, ukijifanya mjuaji ,kuna watu wanaojua zaid.
 
Nashangaa kwanini mnaingiza mambo ya Kajala hapa,swala hapa ni mama Wema kudhalirishwa wakati hausiki kwenye ujinga wa kina Wema na Kajala,
Wangemfanyia Wema sababu ndio mgomvi wao na si mama yake.
Nakushauri usipende kushabikia vitu hata kama ni upuuzi hata kama humpendi Wema.

Mtoto wa kajala nae alikuwa anahusika.... !!!!
 
Iam douting if you have a mumy so sorry lakini hiki kitu sio cha kufurahia angekua kawekwa wema kweli haki ufurahi lakini sio kwa mzazi!Nimeaikitika sana yaani mimi jf sio mchangiaji lakini kwa hili umekosea sana mkuu na nyie mnaosapoti just imagine angekua mama yako,iam not team wema or something but the matter ni mzazi hapa no.matter how you hate wema this is too much!

We Acha Tu...Mama Anauma....
 
Haya ndio hizo team sasaa mi macho yangu
 
Mtoto wa kajala nae alikuwa anahusika.... !!!!

hata kama mtoto wa Kajala alitukanwa bado ni upuuzi ulifanyika sababu mtoto hausiki ktk ugomvi .Simtetei Wema, ninachotaka kusema hizi team zao hazipaswi kutukana ndugu wengine wasiohusika kutoka ktk familia ya Wema au Kajala.
 
Back
Top Bottom