Picha ya Marlyn Monroe yavunja rekodi, yauzwa kwa Bilioni 450. Je, huyu mwanadada alikuwa na kipi cha ziada?

she is real beautiful 🤍
 
Wazungu hutowaweza, utasikia sjui paka wa maiko jaksoni, sijui kitamba cha supastaa gani alilia akafutia machoz msiba wa mkewe, yaani ni mambo ya kiwaki waki kinoma.
[emoji3][emoji3],hivi na sisi hatuwezi kujipaisha tukajipa thamani?Mfano tukasema ile fimbo ya Mwalimu Nyerere tukaipa mastori ya ajabu halafu tukatua nayo pale New York kama royal tour hivi tukamwambia Rostam ajifanye kama mnunuzi ataje dau kubwa kinoma ili waanze kupandia dau,wakati mwingine na sisi tunalala sana.
 
Labda kuna kitu wanatuficha ila hio picha hata sebuleni kwangu siitundiki
Inashangaza sana,japo Picha zenye gharama za juu huwa ni za kawaida tu nadhani labda story behind hio picha au uzushi uliowekwa na ndio hupaisha thamani ya kitu
 
Mabeberu Yanajifagilia Sana
Kweli nasisi tuige tu hakuna namna,mfano jino la Mkwawa hadithi yake ina maajabu sana tungeipamba halafu tukaliuze kwa bei chafu
 
Itabidi tupige propaganda za viwango vya ISO kabisa [emoji23]
 
Wenzetu wako tofauti sana
 
Unaonekana ni msomi mkubwa wa mambo ya physics au astronomy. Bisha..?!
 
Ni kweli,Kuna kipindi fulani huko Tabora ilianguka basi likaua watu wengi,sasa pale eneo la ajali palimwagika damu nyingi,siku walipolitoa tu lile basi ule udongo wa pale ulichimbwa na wananchi mpaka kukabaki mashimo,ule udongo wote wenye damu ukachukuliwa,sijui walienda kufanyia nini.
 
Unaonekana ni msomi mkubwa wa mambo ya physics au astronomy. Bisha..?!
Nabisha.

Mimi si msomi mkubwa wa mambo hayo, ni msomi wa kawaida.

Ila, katika jamii yetu hakuna wasomi wakubwa wengi wa mambo hayo, hata msomi wa kawaida anaonekana msomi mkubwa.
 
Sasa kinachouza hiyo picha ni uchoraji ulikuwa mzuri sana au huyo dada alikuwa mzuri sana?Hii dunia bhana haiishi vituko...
Hata mimi sijaelewa aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…