Picha ya Marlyn Monroe yavunja rekodi, yauzwa kwa Bilioni 450. Je, huyu mwanadada alikuwa na kipi cha ziada?

Picha ya Marlyn Monroe yavunja rekodi, yauzwa kwa Bilioni 450. Je, huyu mwanadada alikuwa na kipi cha ziada?

Inaonekana pia alikuwa akitumiwa sana na Mamlaka za nchi,hapa alienda kuwafariji wanajeshi wa Marekani waliokuwa vitani.
gettyimages-517725616.jpg
images%20(9).jpg
gettyimages-517367878-768x964.jpg
gettyimages-517725486-768x917.jpg
 

Attachments

  • gettyimages-517367878-768x964.jpg
    gettyimages-517367878-768x964.jpg
    60.6 KB · Views: 26
Alitumiwa na mamlaka ya nchi, literally.

"Alitumiwa" na Rais John F Kennedy pamoja na kaka yake Robert F Kennedy.
[emoji28][emoji28],kifupi 'alitumika' ipasavyo
 
Hii minada ni propaganda zaidi inatumika

Ova
 
Huwa napenda sana michango yako hasa unapogusia.
Quantum Physics na Relativity,
Najifunza vitu vingi. Uzidi kudumu mkuu.
Nabisha.

Mimi si msomi mkubwa wa mambo hayo, ni msomi wa kawaida.

Ila, katika jamii yetu hakuna wasomi wakubwa wengi wa mambo hayo, hata msomi wa kawaida anaonekana msomi mkubwa.
 
Marilyn Monroe alikuwa hyped!

Alijipatia umaarufu kwa kuwa na mahusiano na the Kennedy Brothers. Alimtungia John F. Kennedy kibao maarufu cha Happy Birthday Mr. President kisha kwenda kuimba siku ya kuzaliwa ya Rais Kennedy na hapo umaarufu wake ukapaa.

Ikumbukwe birthday party hiyo mke wa Kennedy hakuhudhuria kutokana na uhasama wake na Marilyn.

Aliyepanga mauaji ya Kennedy Brothers ndiye huyohuyo alishiriki kupanga mauaji ya Marilyn Monroe.
 
New York,Marekani.

Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.

Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.

Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.

Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.

Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?

Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.

Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.

Ahsante.View attachment 2218974View attachment 2218975View attachment 2218979View attachment 2218981
Statue ya huyo mrembo wa zamani
Screenshot_20220510-193050.jpg
Screenshot_20220510-193059.jpg
 
Picha ya mwaka 1962 quality kinyama
New York,Marekani.

Picha ya mwanadada Marlyn Monroe iliyopigwa mnada hapo jana imevunja rekodi kwa kununuliwa kwa dola za kimarekani milioni 195($195 Mil) ambazo ni sawa na Shilingi Bilioni 450 za Kitanzania.

Picha hii pia imevunja rekodi ya kuwa ndio picha ya gharama zaidi kwa picha zilizochorwa katika karne ya 20.

Picha hii ilichorwa na mchoraji Andy Warhol mwaka 1964 ilinunuliwa na Bwana Lary Gagosian katika mnada ambao ulichukua chini ya dakika nne tu.

Marilyn Monroe alizaliwa June 1,1926 na alifariki August 4,1962 akiwa na miaka 36.

Je huyu dada alikuwa na kitu gani cha ziada kiasi cha picha yake kuuzwa ghali namna hii?

Kwa kadri nilivyomsoma inasemekana alikuwa mwigizaji,model na sex symbol(mtanisaidia hapa) na pia inasemekana aliwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Raisi John F Kennedy na ndugu yake Robert F Kennedy,Je kuna mengine unayajua kuhusu huyu mwanadada?.

Picha ya kwanza ndio iliyovunja rekodi.

Ahsante.View attachment 2218974View attachment 2218975View attachment 2218979View attachment 2218981
 
Usishangae sana,
Sisi waafrika wananunua kamba ya mtu aliyejinyonga,
Maji ya maiti,nyuzi za sanda.
Yaani basi tu dunia uwanja wa fujo, wenye kujua zaidi ya maana ndo hugharamikia kununua wavitakavyo,ndio maana wewe unajiuliza picha tu ina nn cha ziada,aliyenunua ndio anajua zaidi.
Kweli waafrika tunanunua vitu vya kipumbavu kabisa, Sasa maji machafu ya kuoshea maiti mtu ananunua!
Bora hao wazungu wananunuana Tena mnadani ila sisi tunanunua gizani uchafu.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Alitumiwa na mamlaka ya nchi, literally.

"Alitumiwa" na Rais John F Kennedy pamoja na kaka yake Robert F Kennedy.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom