Picha ya Marlyn Monroe yavunja rekodi, yauzwa kwa Bilioni 450. Je, huyu mwanadada alikuwa na kipi cha ziada?

Picha ya Marlyn Monroe yavunja rekodi, yauzwa kwa Bilioni 450. Je, huyu mwanadada alikuwa na kipi cha ziada?

Kuna mda nawaza sisi waafrika tuna akili nyingi sana kuliko wazungu ni vile tu hatujikubali na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe....wazungu Kuna mda unaona wanalazimisha tu baadhi ya vitu Ili Dunia iende wanavyotaka wao ila sidhani kama wametuzidi akili yyt...picha b 400 ujinga mtupu.
 
Kuna mda nawaza sisi waafrika tuna akili nyingi sana kuliko wazungu ni vile tu hatujikubali na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe....wazungu Kuna mda unaona wanalazimisha tu baadhi ya vitu Ili Dunia iende wanavyotaka wao ila sidhani kama wametuzidi akili yyt...picha b 400 ujinga mtupu.
Kipi kinachonyesha sisi waafrika tuna akili nyingi kuliko wazungu?
 
Kuna mda nawaza sisi waafrika tuna akili nyingi sana kuliko wazungu ni vile tu hatujikubali na roho mbaya wenyewe kwa wenyewe....wazungu Kuna mda unaona wanalazimisha tu baadhi ya vitu Ili Dunia iende wanavyotaka wao ila sidhani kama wametuzidi akili yyt...picha b 400 ujinga mtupu.
Sababu ya umaskini sisi waafrica tunaona ni ufujaji wa mali
 
Ni yale yale wapuuzi wakiendeleza upuuzi wao b Mia nne unafikir inaweza toa unmaskini watu wangapi au unafikiri ingefanikisha mirad mingapi OK ni photo imegharim tsh ngapi kuiandaa imetmia nguvu kiasi gani nini cha umuhim katika hiyo picha just a photo hata haifikirishi na haiibui mawazo mapya
 
Back
Top Bottom