Pre GE2025 Picha ya Samia kwenye mitungi ya gesi ni ya nini? Haya ndio mambo CHADEMA wanapinga. Msimamizi wa vyama vya siasa yupo kama kipofu na kiziwi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ccm daima Samia mitano
 
Tungeanza kuhoji picha ya Samia ilipowekwa kwenye bendera ya taifa, lakini pia kwa taarifa yako zipo unifomu za bodaboda zenye picha ya Samia zinaandaliwa, hii ni sehemu ya kampeni ya urais.
 
Nikiukuta nyumbani kwangu (ijapo najua haiwezekani kupelekwa pale kwakuwa mimi ninatumia akili yangu vizuri) nitaulipua kiasi kwamba mpaka hilo li-chuma lote litaungua.
 
Uchawa umezidi kikomo
 
Hivi nini kimeipata CCM?
Yaani wanawaacha watu kama Kabudi, Bashiru Ally , Mkumbo ,Mwigulu, Januari , Majaliwa, Tibaijuka , Tagamenda , Dr. Angela Kairuki n.k.
Wanatuletea mtu asiyejua hata katiba ya chama chake sembuse katiba ya nchi na sheria za mikataba ya kimataifa .
Kama katiba ka dogo kama ka vikoba hajui basi tuna hatari kubwa sana kama taifa.

Mafisadi na Mabeberu wanataka Rais asiyezijua sheria za mikataba ili aelekezwe na wazee na wapambe ndio maana wanatoa mabilioni ya pesa ili asipate hata mshindani ndani ya chama .

Hii nchi mitano tena ni hatari kuliko hatari ya enzi ya utumwa .
 
Sa si wasipokee!!
 
Ni vile anajua kabisa hana ushawishi kwa hiyo anajitahidi sana kila sehemu kue na jina au picha yake kutaka kuwahadaa watu na vile wanajua udhaifu wa wapiga kura wengi ulipo basi wanacheza na gape tuu
 
Ukitekwa na na kupotezwa tutailau serikali au kalamu yako ya uandishi. Mambo mengine muwe mnakaa kimya tu! Tuko ktk kipindi kigumu mno.
woga ni dhambi. na waoga hawataiona mbingu., woga huzaa unafiki. Mwanadamu alizaliwa siku moja na atakufa siku moja. huwa ninauchukia sana unafiki,.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Tuacheni wivu na Mama,kwani picha ikiwa kwenye mtungi wa gesi inakuuma nini
2025,Tupo na Mama
 
Wanaogawa mitungi ni watanzania wenye mapenzi mema na Dr Samia. Wanaogawiwa mitungi hawajalazimishwa kuipokea ila kwa utashi wao wanapokea mitungi. Hii inaonyesha mama anakubalika. Msajili wa vyama hahusiki na maamuzi ya wanaomkubali Mama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…