Kb Ulayaulaya
JF-Expert Member
- Jan 5, 2023
- 727
- 1,059
Me nachukia tu jina Nyerere kuwa upande wake mbweha huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iko nini mbaya kwa binadamu kuhani kwa msiba wa wenyewe 🐒Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
🤣🤣🤣Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
Vipi safari hii hako kajamaa hakajajipa jukumu la kukusanya rambirambi?
Kanapenda pesa za rambirambi balaa.
😆😆😆😆Ha! kumbe anajua kuandika!
CCM wamejiandaa kwa kujenga kikosi cha askari wao wa dharula(Rapid Force) kulinda madaraka.Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
Nisamehe mkuuHivi huyu Steve Nyerere ni kijana au mzee? Mbona kama anavunjiwa heshima?
Nilitegemea jina lake liwe linaanzia na "mzee". Yaani aitwe "mzee Steve Nyerere".
Samia nivishe viatuNi mawili eidha tumelaaniwa👈au 👉tumelogwa kama Taifa😱😱
Huyo ni Sondoka, ksmanda wa itifaki wa makamanda wa itifaki. Hazeeki, miaka kumi ijayo atakuwa vivyo hivyo.Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
Kazi ipo [emoji23]Huyu ni kiongozi wa Taasisi ya Mama ongea na Mwanao Steve Nyerere, akisaini kitabu cha Maombolezo nyumbani kwa Lowassa, huku akilindwa na Mgambo wa UVCCM, wanaofahamika kama GreenGuard.
View attachment 2903087
Si mchezo ukuwad umemtoaAligombea Ubunge na Jesca [emoji23][emoji23]
Tena si kazi ndogo
Siku ujinga na wajinga wakiisha, ndio siku Mwafrika atakuwa katangaza ukombozi wake...