Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Watanzania wamechoka sanaAfadhali sura ya kamanda haionekani!!
Ujumbe umefika.
Save kabisa picha hiyo Kwa matumizi ya baadae ndugu Erythrocyte
Yaani wakileta ujinga wa kumsaka huyu nitawashangaa sanaAfadhali sura ya kamanda haionekani!!
Ujumbe umefika.
Save kabisa picha hiyo Kwa matumizi ya baadae ndugu Erythrocyte
Unataka apotezwe,Ingekuwa vyema kuonyesha sura na namba yake ya kazi ili serikali ijue ni kweli polisi wanaumia
Usihangaike na mamlukiUnataka apotezwe,
Familia yake utailisha wewe?
Watamtafuta,Yaani wakileta ujinga wa kumsaka huyu nitawashangaa sana
Inasikitisha sana mkuuUsihangaike na mamluki
sasa mbona hamna watu, maandamano kweli haya bodaboda wapo wametulia vijiweni?Imepatikana kwenye Maandamano kabambe ya Chadema , kwenye ile Ruti ya kutokea Mbalizi
Hii hapa, inahusiana na Madhara ya Kikokotoo
View attachment 2910263
Mnadanganyana kibwege sanaHii ndio Hali halisi ya maandamano ya Chadema leo Mbeya mpaka yamepelekea mbunge wao kuwakaribisha watu Mbeya akiwaambia Mbeya ni shwari๐๐๐๐View attachment 2910391
Watamsaka haraka. Si ajabu tayariYaani wakileta ujinga wa kumsaka huyu nitawashangaa sana
Amevunja sheria gani ?Watamsaka haraka. Si ajabu tayari
Hajavunja sheria!!Amevunja sheria gani ?