The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Mchukue babako nenda nae kwa Papa mkabarikiwe,sasa hivi ni ruksa.Umeandika kwa woga sana Pole mwambie mama arudi
Upinde mpaka misikitini sasa kama hadith 16245 isemavyo
Nakazia lindeni kqlio z3nu
Inaitwa "deal closed"Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Ila jamani,kwa hiyo ukishakuwa papa ni mwendo wa gauni hakuna hata suti mara moja moja😀Wajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Ushoga haukwepeki hakuna jipya chini ya jua.Tanzania ushoga hapana kabisa na nipo hapa kukuambia jambo hilo
Niliitikia wito wako kuacha kuchangia majukwaa mengine ila naona imetumia nguvu kuniitaMama asingeenda nakukutana na huyu jamaa yani anazingua hadi anawaona promo kina Bwana Utam international forum kutudhibiti kwenye mada tukabarikiwe.
🙄 Falagha na mkuu wa Nchi.Asingeweza kuweka sauti kwani hiyo ilikuwa faragha ya watu wawili tu, vinginevyo ungewaona na akina Makamba.
Ushapokea barakaNdio ajue kwamba Uislam ulitengenezwa na kanisa Katoliki
Hata na mimi naona hivyo.some sort of a disagreement on a point.......................................
Si kila majadiliano yanatakiwa yasikilizwe na viongozi wengine, ila wahusika hutoa muhtasari wa walichokizungumza baada kumaliza.🙄 Falagha na mkuu wa Nchi.
Ukiwa kama mjuzi hapo ndipo umeelezea picha inavyosomeka?.mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. kama ni diplomasia ya kuifungua nchi, kuitangaza, huyu mama kafanya kuliko kikwete, popote anapoona anaweza kwenda akaitangaza nchi, ameenda.