Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinyonge hivyoPicha ipo clear kabisa,
Mama amekataa kukubaliana na matakwa ya Papa,mikono chini hivyo maana yake hii case imeisha na haikubaliki kwetu.
Bimkubwa kakataa ombi la ubarikio wa mabwabwaWajuzi wa usomaji wa picha na matukio, hapa namuona madame president ameketi pamoja na ndugu Papa ila kuna tukio sijalielewa kwa mkao wa madame president kutokana na uwekaji wa mikono hapo kwenye meza.
View attachment 2901910
Nahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Wewe na Babako ndio mlinde makalio yenu,nyie machoko ndio mnataka kuuaminisha umma kua hiyo picha ni kua nyie mapunga ndio mmekubaliwa kutifuana tope.Kinyonge hivyo
Lindeni kqlio z3nu
Punguza sauti mkuu kuna watoto hapa🙄Wewe na Babako ndio mlinde makalio yenu,nyie machoko ndio mnataka kuuaminisha umma kua hiyo picha ni kua nyie mapunga ndio mmekubaliwa kutifuana tope.
Kiembembuzi itamtengaNahisi kama kuna mtu anaapishwa hapa
Akili zako za Mende, kwani huwezi kuwaza mambo ya maana zaidi ya huo ushoga wako? Samia ni rais wa nchi lazima papa amheshimu rais Samia. Mambo ya ushoga kawaagiza makasisi wakatoliki tuu hajaagiza makasisi wa madhehebu yasiyo ya katoliki. Hakuna muislam yeyote huagizwa na papa kufuata mafundisho yake hata awe mtoto wa madrasa Papa hana amri wala uwezo wa kumpa amri.Papa anaonekana kumshawishi Rais wetu akubali ushoga lakini Rais anakataa😁
Mambo gani tena mkuu?😂😂Anampiga sound ili apige mambo
Acha kabisa mkuu, ila wakati mwingine inaboa kusema kweli......ujinga ujinga tuuuuuu kila wakati.Wabongo wape picha tu!
kweli akili ni nywele
Umeandika kwa woga sana Pole mwambie mama arudiWewe na Babako ndio mlinde makalio yenu,nyie machoko ndio mnataka kuuaminisha umma kua hiyo picha ni kua nyie mapunga ndio mmekubaliwa kutifuana tope.