Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mke mmoja tu mwanaume anatoka jasho. Wakiwa wawili au zaidi si kuna hatari ya wanaume kuwa vichaa.makanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2
Waoaji sijui wameenda wapi binamuWanaonyesha kuwa warembo, lakini bilabila....
Waoaji wamebaki na suruali zao tu. Hamna muoaji kabisa miaka hii.Si haba ni warembo hakika,..wakaka embu oeni jamani khaa hivi kwa mfano dadako yuko hapo unajisikiaje moyoni...oeni na nyie Dada zenu wapate neema ya kuolewa lol[emoji23][emoji23][emoji23]...
Kweli kabisaaa wala si uongo..Waoaji wamebaki na suruali zao tu. Hamna muoaji kabisa miaka hii.
Picha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.
Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC
View attachment 769257
Hatuoi urembo tunaoa mwanamke......Si haba ni warembo hakika,..wakaka embu oeni jamani khaa hivi kwa mfano dadako yuko hapo unajisikiaje moyoni...oeni na nyie Dada zenu wapate neema ya kuolewa lol[emoji23][emoji23][emoji23]...
ameona akiweka hvyo sijui ndo atawadhalilisha au sijui waonekanaje ili hali apo kuna wenye wachumba na ambao wameshachumbiwaIlipaswa hiyo warsha iitwe "kongamano la wasichana ambao bado hawajaolewa". Kusema ni la "wasioolewa" is as if ndo ishatoka hivyooo. Kuna watu wanaolewa at 40.
MalapaaaaMmmh!wasio olewa mbona vifua vyao vingi vimepigwa pasi.
hata wangeoa 5 bado ungeona wangejazana.if other factorz remain constant.makanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2