Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Picha ya wasichana kwenye "Kongamano la wasioolewa"

Unakuta mtaani mashauzi kibaaaao then hapo analialia

Wengi wao wanaangaliavitu na sio mtu
 
Si haba ni warembo hakika,..wakaka embu oeni jamani khaa hivi kwa mfano dadako yuko hapo unajisikiaje moyoni...oeni na nyie Dada zenu wapate neema ya kuolewa lol[emoji23][emoji23][emoji23]...
Waoaji wamebaki na suruali zao tu. Hamna muoaji kabisa miaka hii.
 
Shidaa sana wajiangalie Mara mbili mbili umorden wao ndio kigezo #1 ikichangiwa na Kuangalia series za kichina kihindi kijapan, Philippines, koreaans au kule kwa kina Erduwardo , Yan unakuta mtu kuanzia asubuh hadi jion anaangalia huo upuuxi na by time ananza kuforget kuwa yy ni mbongo na atakuja kuolewa na mbongo afu kwenye mahusiano umletee umbele , Anachapa lapa afu spidi sana...
 
Picha ya Wasichana kwenye "KONGAMANO LA WASIOOLEWA" lililoandaliwa na Mtumishi wa Mungu Colle Karyn, inaelezwa umri huwa ni miongoni mwa vitu vinavyowanyima usingizi na hupata wasiwasi wanapofikisha miaka 25 hawajaolewa.

Jambo jingine ambalo huwanyima usingizi Wasichana wengi ni maswali ya "unaolewa lini" kutoka kwenye Jamii zinazowazunguka. via BBC

View attachment 769257

Mkuu

Huyo kwenye avatar yako ni Mkenya Edi Gathegi,hollywood superstar!

Tuache hayo,hawa wadada wasijali watapata mwenzi tu haina shida,wala wasiwaze!
 
Ilipaswa hiyo warsha iitwe "kongamano la wasichana ambao bado hawajaolewa". Kusema ni la "wasioolewa" is as if ndo ishatoka hivyooo. Kuna watu wanaolewa at 40.
ameona akiweka hvyo sijui ndo atawadhalilisha au sijui waonekanaje ili hali apo kuna wenye wachumba na ambao wameshachumbiwa
 
Back
Top Bottom