mtanganyika wa kweli
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 2,420
- 1,721
its' ur time to label it.Hivi ni Wasichana wasioolewa au Wasichana ambao hawajaolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
its' ur time to label it.Hivi ni Wasichana wasioolewa au Wasichana ambao hawajaolewa
hata ikiwa uwainao mwanaume1:100 wanawake bado watajazana kweny hayo makongamano km ruge na fursaMimi nmeshaoa. Ndoa yangu ina miaka mitano.
Kwa sensa iliyofanyika nchini mara ya mwisho uwiano wa me na ke kwa Tz ni almost 1:1.hata ikiwa uwainao mwanaume1:100 wanawake bado watajazana kweny hayo makongamano km ruge na fursa
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
hiyo takwim ya NBS au zitto kabwe? weka hapa.Kwa sensa iliyofanyika nchini mara ya mwisho uwiano wa me na ke kwa Tz ni almost 1:1.
Hayo yakusema wanawake ni wengi ni upotoshaji tu.
Sensa ya kutaifahiyo takwim ya NBS au zitto kabwe? weka hapa.
..kunammoja mara sitaki mfupi,..utaniharibia watoto wangu etc,..mara huna hela etc,..Yawezekana mashauzi na machaguzi mengi....
Acha kujidanganya au kujifariji; pesa haijawahi kuwa mbadala wa p*mbu!!Watengeneze pesa tu!
Pesa ndiyo majibu ya yote! MUHIBIRI
..wanasema tunavibamia...Si haba ni warembo hakika,..wakaka embu oeni jamani khaa hivi kwa mfano dadako yuko hapo unajisikiaje moyoni...oeni na nyie Dada zenu wapate neema ya kuolewa lol[emoji23][emoji23][emoji23]...
weka hapa.Sensa ya kutaifa
Warembo wa nje tu mkuu ila jaribu kuingia ndani utakutana na brake isiyo ya kawaida [emoji16][emoji16][emoji16]Wanaonyesha kuwa warembo, lakini bilabila....
Siwekiweka hapa.
ndio hivyo....Warembo wa nje tu mkuu ila jaribu kuingia ndani utakutana na brake isiyo ya kawaida [emoji16][emoji16][emoji16]
oh huna hela, wewe masikini.......kunammoja mara sitaki mfupi,..utaniharibia watoto wangu etc,..mara huna hela etc,..
kwa kweli......Lakini naona mmoja wao keshatotoa. Kuna kitegemezi kwenye picha hapo. Labda kama ni wa mpiga picha ambaye ameshaolewa amewapa wamshikie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]