mgaya chacha
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 499
- 654
Midomo yao inaonesha uhalisia wa tabia zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
binamu Jolie Jolie waoaji wapo wengi tatizo waolewaji wanamachaguzi makubwa kuliko uhalisia uliopo....Waoaji sijui wameenda wapi binamu
hilo nalo neno hawa viumbe hawana fomulaHuyo mke mmoja tu mwanaume anatoka jasho. Wakiwa wawili au zaidi si kuna hatari ya wanaume kuwa vichaa.
Yupo kwenye zile movie za "The Twilight saga"...kati ya movie series zilizofanikiwa sana za Hollywood, list ya best movies of all time.Mkuu
Huyo kwenye avatar yako ni Mkenya Edi Gathegi,hollywood superstar!
Tuache hayo,hawa wadada wasijali watapata mwenzi tu haina shida,wala wasiwaze!
Fanya maombi mkuuhilo nalo neno hawa viumbe hawana fomula
Sikuringii tena..Fanya fasta utoe mahali nisije kuulizwa naolewa lini 😀Sasa hao wakinadada wataolewa na nani kama sisi wanaume hatuna mpango wa kuwaoa. Tuache ubabaishaji. Tutoe mali. Tuoe hao warembo.
mkuu haya maandiko ni kwemye biblia tu au hata quaran na kama wote tunaabudu Mungu moja kwa nini maandiko yatofautiane kati ya dini na dini?Siyo suala la kukaa vikao na kuamua. Ni sheria tu.
Mathayo 19:4 Akajibu, akawaambia, Hamkusoma ya kwamba yeye aliyewaumba mwanzo, aliwaumba mtu mume na mtu mke,
5 akasema, Kwa sababu hiyo, mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe; na hao wawili watakuwa mwili mmoja?
6 Hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi aliowaunganisha Mungu, mwanadamu asiwatenganishe.
7 Wakamwambia, Jinsi gani basi Musa aliamuru kumpa hati ya talaka, na kumwacha?
8 Akawaambia, Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu; lakini tangu mwanzo haikuwa hivi.
9 Nami nawaambia ninyi, Kila mtu atakayemwacha mkewe, isipokuwa ni kwa sababu ya uasherati, akaoa mwingine, azini; naye amwoaye yule aliyeachwa azini.
..mara ukoo wenu masikini,..ukafanyiwe delivarance kwanza etc,..oh huna hela, wewe masikini.....
Kuwa mpole mrembo agata. Namalizia mazungumzo na baba mkwe wako kabla hatujaja kujitambulisha.S
Sikuringii tena..Fanya fasta utoe mahali nisije kuulizwa naolewa lini 😀
watu wanapenda vya kimboka, na kisumu buku mbili tu hamna shida-unakuwa free na stressSi haba ni warembo hakika,..wakaka embu oeni jamani khaa hivi kwa mfano dadako yuko hapo unajisikiaje moyoni...oeni na nyie Dada zenu wapate neema ya kuolewa lol[emoji23][emoji23][emoji23]...
Chelewa chelewa tuu..😀Kuwa mpole mrembo agata. Namalizia mazungumzo na baba mkwe wako kabla hatujaja kujitambulisha.
Umeanza kuniweka tumbo joto sasa.Chelewa chelewa tuu..😀
Sheria ya Biblia Haibadilikimakanisa ya kikristo yaangalie upya sheria,watu waweze kuoa wanawake angalau kuanzia 2
Ahahaaaaaa.....ngoma bila bilaWanaonyesha kuwa warembo, lakini bilabila....
Hahaaa....bila kutishiwa kuachwa nasikia amuoi..Umeanza kuniweka tumbo joto sasa.
Nipo njiani sweeeet
Inategemea ntu na ntu. Mimi kukuoa lazima. Labda wewe tu unikimbie kanisani.Hahaaa....bila kutishiwa kuachwa nasikia amuoi..