kadovela
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 471
- 679
TULISTAHILI KUMUABUDU MUNGU MMOJA LAKINI UKWELI NI KWAMBA HATUFANYI IVYO.mkuu haya maandiko ni kwemye biblia tu au hata quaran na kama wote tunaabudu Mungu moja kwa nini maandiko yatofautiane kati ya dini na dini?