Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Kuna 🔎 na kuna binocularsKumbee wengi humu hamjui matumizizi ya banokulaaa....kuna kiona mbali na karibu,kwa waziri alivyp fanya nikuweka kiona mvali,kwamba kitu kipo kwaribu unataka ukione kwa umbali,huo upande mwingine nikitu kipo mbali unataka kukiona karibu
Kama ni kukuza kitu basi tunatumia magnifying glass 😄
Ila Telescope na binoculars ni upande mmoja tu ndio ninavyojua maana nimetumia sana mpaka night vision pia nilikuwa nayo
