May be. Ila naamini hatachomoa kwasababu ya kushindwa kuielewa misamiati mipya ya vijana mfano neno "mtiani"Wenda umri pia unachangia, mfano Prof Kabudi na sheria zake leo nikimtungia mtiani hachomoi , lazima nimlambe sup, kama anabisha nimtungie kama atachomoa , wazee wanatakiwa kutulia ila hawataki
Kwani alisomea darubini?Only in TZ huyu ni waziri wetu wa ulinzi kutumia hadubini hajui halafu ni PHd
Na wewe nikukumbushe kidogo kuwa ulitakiwa kuandika PhDOnly in TZ huyu ni waziri wetu wa ulinzi kutumia hadubini hajui halafu ni PHd
Ilo neno dogo sana elewa content bwana , hachomoi ,hakuna cha kijana wala nini, nje ya uzee ccm ni kiwanda cha kuteketeza vipaji vya watuMay be. Ila naamini hatachomoa kwasababu ya kushindwa kuielewa misamiati mipya ya vijana mfano neno "mtiani"
Hapo anaona kope zake za macho zikiwa umbali wa kilometer 3 kutoka alipokaa.Nyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
wasomi Kila Leo wanachekwa na akina Dotto magari sababu hizi ameona akiuliza ataibikaOnly in TZ huyu ni waziri wetu wa ulinzi kutumia hadubini hajui halafu ni PHd
Aaaah Mkuu acha kuvunga banaNadhani ndiyo alikuwa anakisogeza mahali pake kwa ajali kamerq ikamnasa.
Namfahamu huyo mama si mshamba wa mambo hayo hata kidogo
Hapo sasa anafanya JF nzima haiko na watu wenye uelewahumu ndani kuna members na ex members wa vyombo mbali mbali vya ulinzi na usalama. Huongei na watoto au washamba, watu wanajua mhe kazingua hakuna cha kufunika aibu kazinguaaaaaa
Alafu kwa uchawa akiongea na Sa100 atasifia utadhani kuna kitu chochote alikionaπ€£π€£Mh Waziri katupiga kamba hapa. Haoni kitu bila shaka
Katika hiyo wizara?Nyuki wa Mama mpo?
Kama mnavyomuona kwenye picha Waziri wa Ulinzi akiwa beneti na Mama wakiangalia kwa makini hicho walichoambiwa ni cha kutazama katika ufunguzi wa zoezi la medani katika kuazimisha miaka 60 ya JWTZ, Msata-Pwani
Kwa utaalamu mkubwa alionao Bi Stergomena Tax akatumia kifaa tofauti na kwa ustadi mkubwa sana. Hata alikiona kweli alichokuwa anakiangalia?
Jambo ukiwa ulijui si unauliza tu, au nimekosea nyuki wa Mama mwenzangu Lucas Mwashambwa?
Narudisha mpira kwenu nyuk
Sio lazima! Selfie unaijua wewe?Sina hakika. Ila mara zote nionavyo inashikiliwa kama Rais na CDF walivyoibeba
Halafu huyo c waziri wa ulinzi auHapa sielewi yeye alikuwa anaona nini? πππππ