Pre GE2025 Picha: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA Mwanza

Pre GE2025 Picha: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA Mwanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ninaijua Mwanza vizuri sana; nina nyumba mbili pale pamoja na contacts kibao. CCM sasa hivi haioendwi tena Mwanza kama zile enzi za Magufuli, tena inachukiwa sana kutokana na kero mbalimbali zilizoongeza siku za hivi karibuni, lakini chuki hiyo dhidi ya CCM bado haijajitokeza kuwa ushindi wa CHADEMA. Sana sana ni kwamba inawezekana watu wengi hawatapiga kura, jambo ambalo halitaisaida CHADEMA
Kwani hapa tumekuuliz Nyumba unazomiliki?

We jamaa vipi😆😆
 
Kwani hapa tumekuuliz Nyumba unazomiliki?

We jamaa vipi😆😆
Usikimbile kukereaka na umiliki wa nyumba, ninachokuonyesha ni kuwa ninaijua mwanza kwa karibu sana hata kama ninaishi nje ya nchi. Nina contact za karibu sana ambazo naongea nazo mara kwa mara sana na kujua yanayoendelea hapo Mwanza.

Kuwapo kwa nyumba hizo kunanifanya niwe na interest kubwa sana na yanayoendelea Mwanza kisiasa na kicuhumi. Kama hilo limekuudhi basi unasoma maneno badala ya kusoma habari iliyoandikwa.
 
Kuna watu wadini na wakabila kuzidi sisiemu?
Huwajui chadema wewe, japo sio wote. Kwanza nawashangaa baadhi ya waislamu wenzangu wanafanya kazi na watu wadini, wabaguzi na wakabila. Ni heri uwe CUF au ACT wazalendo ila sio chama kinachotoka kaskazini. Ni U.T.I iliyochangamka.

Kanda ya ziwa msijisumbue
 
Huwajui chadema wewe, japo sio wote. Kwanza nawashangaa baadhi ya waislamu wenzangu wanafanya kazi na watu wadini, wabaguzi na wakabila. Ni heri uwe CUF au ACT wazalendo ila sio chama kinachotoka kaskazini. Ni U.T.I iliyochangamka.

Kanda ya ziwa msijisumbue
Kama chadema ni UTI CCM watakuwa covid,au kipindupindu wanatutesa kila mahali wanakombaa mboga wao hawataki kuona mtu anainuka wewe unaongea kwa sababu unanufaika na mfumo wa kinyonyaji lakini ukumbuke Mungu yupo na ipo siku atakuuliza na inawezekana wewe ni mzee wa kanisa lakini una roho nyeusi kama mkaa.
 
Ni wazi CHADEMA wameishiwa mawazo hilo hapo chini ni moja ya mabango ya jana kwenye maandamano ya Mwanza.

Badala mkalime mnashinda barabarani sasa nani awalimie chakula. Imagine leo Tanzania yote is green halafu kuna wapumbavu eti wanatembea 16 kilomita kutaka Serikali ipunguze bei ya chakula. Hizo nguvu si wangetumia kulima wauze hicho chakula kwa bei ya chini wanayotaka.

Bei zinapangwa na forces of demand and supply. You can't afford food, kalime au ufe
20240216_104528.jpg
.
 
Kuna mzee mmoja alinihadithia na kusema, chadema walipita mbele ya nyumba yake kulikua na watoto wake nje ya nyumba, unajua kilichowakuta!! Waliambiwa subirini chadema ishinde urais nyie waarabu mtaondoka hii nchi, niliumia sana kuona watanzania wenzangu wamefikia kuongea huo upuuzi kwa watu weupe.

Niseme tu, pamoja na mapungufu ya ccm chama kongwe acha waendelee kutuongoza, na huku kanda ya ziwa wasitegemee kabisa kura zetu hao wanakaskazini. Wabaki huko huko uchagani, kanda ya ziwa tupo na ccm.
pole sana una akil mgando
 
Ni wazi CHADEMA wameishiwa mawazo hilo hapo chini ni moja ya mabango ya jana kwenye maandamano ya Mwanza.

Badala mkalime mnashinda barabarani sasa nani awalimie chakula. Imagine leo Tanzania yote is green halafu kuna wapumbavu eti wanatembea 16 kilomita kutaka Serikali ipunguze bei ya chakula. Hizo nguvu si wangetumia kulima wauze hicho chakula kwa bei ya chini wanayotaka.

Bei zinapangwa na forces of demand and supply. You can't afford food, kalime au ufe View attachment 2905691.
Kweli wewe punguani aisee
 
Haya ndio maneno ya Jasiri Tundu Antipas Lisu baada ya kutembea km 16 " Miguu Imechoka lakini Moyo wangu ni Mweupe"

Source: Mwanzo TV Plus

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lisu 😄😄
Aliyefanya ule unyama alaaniwe yeye na kizazi chake chote. Hata mnyama hafanyiwi vile, anajisikiaje kumtia Lissu kilema kikatili vile?
 
Back
Top Bottom