Pre GE2025 Picha: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA Mwanza

Pre GE2025 Picha: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA Mwanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tazama baadhi ya picha za juu zilivyoyachukua kwa uwazi maandamano ya chadema.

Picha ya kwanza ni baada ya makundi yote kukutana na kuingia viwanja vya furahisha.

cac6f3d5-90b0-4f3b-9aa4-523ff5aa38bd.jpg

71a7d590-7709-434d-b645-5948aeb4ada8.jpg

cf8925f3-bfee-4562-91d9-283ae59ff1ff.jpg

IMG_6504.jpg
 
Ni nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??

Mbona siyo kawaida?

Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?

Kuna jambo hapa si kawaida kwetu!

Zamani ilikuwa CHADEMA wakifanya maazimio tu ya kuandamana tayari taarifa za 'kiintelijensia' zinasambaa, na kuzuia maandamano.
Tuna serikali ya wastaarabu
 
Zitto alianzisha chama chake yuko wapi sasa?

Tundu Lissu tunampenda sababu yuko kwenye Taasisi imara.

Akitusaliti na yeye tunampiga chini.

Taasisi gani imara? Tokea mmeanza mpaka leo mmefanya nini cha maana! Chama kina watu wabaguzi, wadini na wakabila japo sio wote. Cha nini sasa! Si bora kutokua na chama kuliko kuwa chadema, tlp na nccr mageuzi!
 
Taasisi gani imara? Tokea mmeanza mpaka leo mmefanya nini cha maana! Chama kina watu wabaguzi, wadini na wakabila japo sio wote. Cha nini sasa! Si bora kutokua na chama kuliko kuwa chadema, tlp na nccr mageuzi!
Nenda Cuf mkuu huku kwetu hujalazimishwa
 
Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.

Hiki hapa ni kituo cha Igoma.

View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727View attachment 2904764

=====

Viwanja vya Furahisha vyazidiwa watu wamesimama mguu mmoja mmoja , ukisimama miguu miwili umekanyaga mtu

View attachment 2905064
1708100199761.png

WEKA NA HIYO MKUU
 
Pointless. Mbona Mawaziri waliosimamiwa na Mzee Lowasa wako kazini? Mama nae yuko ziarani kikazi?
Huu ndiyo ujinga ambao mnatufanya watanzania wasituamini kwa kutupigia kula ili tuongoze nchi. TUPUNGUZE UJINGA TUNAWEZA KUAMINIWA
 
Back
Top Bottom