Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sana una akil mgando
Aliyefanya ule unyama alaaniwe yeye na kizazi chake chote. Hata mnyama hafanyiwi vile, anajisikiaje kumtia Lissu kilema kikatili vile?
Ili iweje ?Sijui kama hakufa aliemkatili lisu, ila lisu nae anatakia nini kuendelea chadema! Kwani anashindwa nini kuanzisha chama chake!
Mbona umechelewa ?Tazama baadhi ya picha za juu zilivyoyachukua kwa uwazi maandamano ya chadema.
Picha ya kwanza ni baada ya makundi yote kukutana na kuingia viwanja vya furahisha.
View attachment 2905828
View attachment 2905829
View attachment 2905830
View attachment 2905832
Mungu ambariki sana Tundu LissuHaya ndio maneno ya Jasiri Tundu Antipas Lisu baada ya kutembea km 16 " Miguu Imechoka lakini Moyo wangu ni Mweupe"
Source: Mwanzo TV Plus
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lisu 😄😄
Zitto alianzisha chama chake yuko wapi sasa?Sijui kama hakufa aliemkatili lisu, ila lisu nae anatakia nini kuendelea chadema! Kwani anashindwa nini kuanzisha chama chake!
Very correctOur lives begin to end the day we become silent about things that matter.
Tuna serikali ya wastaarabuNi nani *mshauri wa ruhusa za maandamano??
Mbona siyo kawaida?
Ni kwanini sasa hivi 2024/2025 mwaka wa uchaguzi?
Kuna jambo hapa si kawaida kwetu!
Zamani ilikuwa CHADEMA wakifanya maazimio tu ya kuandamana tayari taarifa za 'kiintelijensia' zinasambaa, na kuzuia maandamano.
Zitto alianzisha chama chake yuko wapi sasa?
Tundu Lissu tunampenda sababu yuko kwenye Taasisi imara.
Akitusaliti na yeye tunampiga chini.
Tazama baadhi ya picha za juu zilivyoyachukua kwa uwazi maandamano ya chadema.
Picha ya kwanza ni baada ya makundi yote kukutana na kuingia viwanja vya furahisha.
View attachment 2905828
View attachment 2905829
View attachment 2905830
View attachment 2905832
Nenda Cuf mkuu huku kwetu hujalazimishwaTaasisi gani imara? Tokea mmeanza mpaka leo mmefanya nini cha maana! Chama kina watu wabaguzi, wadini na wakabila japo sio wote. Cha nini sasa! Si bora kutokua na chama kuliko kuwa chadema, tlp na nccr mageuzi!
Leo Tarehe 15 feb 2024 ni siku ya baraka Jijini Mwanza, baada ya umati wa wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki maandamano ya amani ya kupinga ugumu wa maisha n miswada mibovu ya sheria za uchaguzi.
Hiki hapa ni kituo cha Igoma.
View attachment 2904724View attachment 2904726View attachment 2904727View attachment 2904764
=====
Viwanja vya Furahisha vyazidiwa watu wamesimama mguu mmoja mmoja , ukisimama miguu miwili umekanyaga mtu
View attachment 2905064
Acha bangi kijanaPunguani ni wewe mtoto wa malaya ukiyezaliwa bila kujuwa baba yako halisi ni nani. Unajuwa matusi tu uliyokariri kutoka kwa mama yako
Huu ndiyo ujinga ambao mnatufanya watanzania wasituamini kwa kutupigia kula ili tuongoze nchi. TUPUNGUZE UJINGA TUNAWEZA KUAMINIWAPointless. Mbona Mawaziri waliosimamiwa na Mzee Lowasa wako kazini? Mama nae yuko ziarani kikazi?