Pre GE2025 Picha: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA Mwanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani hapa tumekuuliz Nyumba unazomiliki?

We jamaa vipiπŸ˜†πŸ˜†
 
Kwani hapa tumekuuliz Nyumba unazomiliki?

We jamaa vipiπŸ˜†πŸ˜†
Usikimbile kukereaka na umiliki wa nyumba, ninachokuonyesha ni kuwa ninaijua mwanza kwa karibu sana hata kama ninaishi nje ya nchi. Nina contact za karibu sana ambazo naongea nazo mara kwa mara sana na kujua yanayoendelea hapo Mwanza.

Kuwapo kwa nyumba hizo kunanifanya niwe na interest kubwa sana na yanayoendelea Mwanza kisiasa na kicuhumi. Kama hilo limekuudhi basi unasoma maneno badala ya kusoma habari iliyoandikwa.
 
Kuna watu wadini na wakabila kuzidi sisiemu?
Huwajui chadema wewe, japo sio wote. Kwanza nawashangaa baadhi ya waislamu wenzangu wanafanya kazi na watu wadini, wabaguzi na wakabila. Ni heri uwe CUF au ACT wazalendo ila sio chama kinachotoka kaskazini. Ni U.T.I iliyochangamka.

Kanda ya ziwa msijisumbue
 
Kama chadema ni UTI CCM watakuwa covid,au kipindupindu wanatutesa kila mahali wanakombaa mboga wao hawataki kuona mtu anainuka wewe unaongea kwa sababu unanufaika na mfumo wa kinyonyaji lakini ukumbuke Mungu yupo na ipo siku atakuuliza na inawezekana wewe ni mzee wa kanisa lakini una roho nyeusi kama mkaa.
 
Ni wazi CHADEMA wameishiwa mawazo hilo hapo chini ni moja ya mabango ya jana kwenye maandamano ya Mwanza.

Badala mkalime mnashinda barabarani sasa nani awalimie chakula. Imagine leo Tanzania yote is green halafu kuna wapumbavu eti wanatembea 16 kilomita kutaka Serikali ipunguze bei ya chakula. Hizo nguvu si wangetumia kulima wauze hicho chakula kwa bei ya chini wanayotaka.

Bei zinapangwa na forces of demand and supply. You can't afford food, kalime au ufe .
 
pole sana una akil mgando
 
Kweli wewe punguani aisee
 
Haya ndio maneno ya Jasiri Tundu Antipas Lisu baada ya kutembea km 16 " Miguu Imechoka lakini Moyo wangu ni Mweupe"

Source: Mwanzo TV Plus

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Lisu πŸ˜„πŸ˜„
Aliyefanya ule unyama alaaniwe yeye na kizazi chake chote. Hata mnyama hafanyiwi vile, anajisikiaje kumtia Lissu kilema kikatili vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…