Pre GE2025 Picha: Yaliyojiri kwenye Maandamano ya Amani yaliyoandaliwa na CHADEMA Mwanza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
nafuatilia kwa karibu sana mahangaiko yenu hapo mwanza,

na actually nimeomgea na singo kigaila muda mfupi ulopita ameniambia anapata maji kidogo mahali amechemsha sana...

ameniambia kuna changamoto ya mtandao kidogo online, limepokelewa hilo..

R.I.P Laigwanan comrade ENL
 
Kwamba hukutaka waruhusiwe kuandamana?

Kuandamana ni suala la haki kulingana na katiba yetu bila kujali ni wakati wa uchaguzi au lah.
Nafikiri unayajua yote haya, labda kama unafanya dhihaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…