Bandari ya DPW au bandari gani hii mkuu?Hii picha nimepiga Leo asubuhi huku barabarani. Hakika hii Nchi nzuri kabisa. Kuna yule Jamaa aliyechora mawe Nchi nzima, sijui yuko wapi.View attachment 2942326
Hahahaha ila DPW dahBandari ya DPW au bandari gani hii mkuu?
🤣🤣🤣🙌🏿
Nilijua itakuwa picha ya mbeya pazuri🙄Picha Yangu: Good morning Lindi
Hii picha nilipiga tarehe 08/03/2024 asubuhi Lindi - Tanzania. Hakika Tanzania ni nzuri Aiseee. Camera tu ndio unaniangusha sasa Mla Bata njoo hukuwww.jamiiforums.com
Makanza na geneHii picha nimepiga Leo asubuhi huku barabarani. Hakika hii Nchi nzuri kabisa. Kuna yule Jamaa aliyechora mawe Nchi nzima, sijui yuko wapi.View attachment 2942326
Ngoja nitaitafuta ninayoNilijua itakuwa picha ya mbeya pazuri🙄
Hayo Mawe yapo Tanzania tu dunia nzima hakuna.Nchi nzuri kisa hayo mawe?
Kwahiyo yana mchango gani kwenye maendeleo ya Taifa?Hayo Mawe yapo Tanzania tu dunia nzima hakuna.
How much per dumu,nataka nimnunulie mtuUngekuwa chuga ningekuletea ndani ya siku mbili hizi.
Nitakujulisha kesho muda huu umeenda sana siwezi kumpigia mdau wangu ambaye ndio hutengeneza hii kitu, bahati mbaya pia mie sio mtumiaji mara nyingi hutokea kunipa mie nakataa kwa vile sio mambo yangu.How much per dumu,nataka nimnunulie mtu
I dont drink