Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Uwe na hela.Hivihivi utatembea huku unatukana kimoyomoyo tu.Bonge moja ya picha aisee..
Ukitaka kuenjoy na mazingira ya Tanzania tembea muda wa mchana na sio usiku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe na hela.Hivihivi utatembea huku unatukana kimoyomoyo tu.Bonge moja ya picha aisee..
Ukitaka kuenjoy na mazingira ya Tanzania tembea muda wa mchana na sio usiku
Upo Sahihi kabisaa...Uwe na hela.Hivihivi utatembea huku unatukana kimoyomoyo tu.
Kama hauna hela halafu una njaa na umeachika unaona kila mtu anakufahamu na anakucheka tu.Upo Sahihi kabisaa...
🤣🤣🤣nini bhana🥴Hahahahaha
Yupo yule shekhe alisema kuwa watoto kufundishwa kuwa zamani tulikuwa nyani iondolewe kwenye sylabus kumbe hajui kuwa ya kaizari apewe kaizari na mungu apewe mungu kuna mahali dunia na sayansi havikai pamoja.WIZARA ya utalii, inabidi itoe TENDER ( CONTENT CREATOR), kutumia mawe kupublish, kumbukumbu mbalimbali...kwa kutumia michoro na picha kwenye hayo mawe .... "historical sites" hii itasaidia JAMII ijayo kujifunza, lakini pia italeta huruma MTU yoyote kuharibu mazingira yenye message. Mfano JIWE linaandikwa wimbo wa TAIFA, JIWE linaandikwa mazao yapatikanayo mkoan huska, JIWE linachora ajari zilizwahi tokea mkoan huo na KUUA Sana, JIWE linachora wanyama woote wapatokanao mkoa huo, JIWE linaandikwa mitishamba muhimu yakutumia inayopatikana eneo Hilo....nk nk....JIWE linaandikwa kiuongozi aliyetetea JAMII hiyo, na kiongoz aliye haribu elimu kama Yule aliyefuta UMITASHUMITA...nk ..
Nchi nzuri kisa hayo mawe?Hii nchi ni nzuri sana mkuu ila mafisadi yanaiharibu.
Tukipata viongozi wazalendo , tutafika mbali sana.
Ungekuwa chuga ningekuletea ndani ya siku mbili hizi.Uje na dodoma wine ukirudi
Hahahahahaahahahaahah naelekea Burundi pale Mkoani MakambaAmetangulia Burundi kutuandalia makao mapya.
Ila mna visaNchi nzuri kisa hayo mawe?
DahKama hauna hela halafu una njaa na umeachika unaona kila mtu anakufahamu na anakucheka tu.
HahahahaUpo Sahihi kabisaa...
Nimefurahi tu🤣🤣🤣nini bhana🥴
Hivi mtu akiteuliwa kuwa "waziri wa hela na kupanga ufujaji" na muda huohuo akili humponyoka?Hahahahahaahahahaahah naelekea Burundi pale Mkoani Makamba
Kila ukimuona traffic police unanuna, ukiona kibao cha 50km/HR unapunguza speed hadi 30km/hrUwe na hela.Hivihivi utatembea huku unatukana kimoyomoyo tu.
Huwezi kuwa tofauti na wenzioHivi mtu akiteuliwa kuwa "waziri wa hela na kupanga ufujaji" na muda huohuo akili humponyoka?
Na pesa ya mchezo, kwa kijumbeMshahara upi mkuu? Huu huu? Ndo tusipokee simu? 🤣🤣🤣🤣🤣
Na uchawa ili wawe promotedHakuna mwenye akili ya kubuni vitu vizuri kama hivyo wizarani.
Waliopo wizarani huwaza kuiba tu na huiba haswaa.
🤣🤣🤣🙌🏿Na pesa ya mchezo, kwa kijumbe